Kibaya zaidi watoto haohao wenye IQ za hivyo ndio watovu wa discipline, kwa hiyo hawasaidiki ,wangekuwa wanakosea kwa sababu nyingine sawa lakini indiscipline inayotokana na dunia ya utandawazi unaosababisha watoto nao wanataka kukimbia sawa nayo kupita hata spidi ya kuelimika kwao!