Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 302
Kikwete aelewe sisi ndio tunaofanyakazi usiku na mchana madaktari, walimu, makarani, wahandisi, manesi na wauguzi, mahakimu, polisi, wanajeshi, marubani, viwandani, maofisini, migodini, mashambani, kuhakikisha rais wetu analipwa vizuri anaishi vizuri yeye na familia yake lakini tumeambulia kutukanwa, kudharauliwa, kutishwa, badala ya kuwafokea na kuwatisha mafisadi anatufokea tunaomlipia nauli kwenda kutembea nje, amesahau juzi alipokuwa anaomba kazi kwetu tukamwajiri leo ametugeuka anasema yeye ndiye mwajiri mkuu............imeniuma sana.