Nimewaandia watu wenye akili ambao wanauwezi wa kusoma between lines na kugundua makosa, sikuwalenga stupid people wenye akili finyu.Kwani hii comment yako hapa chini umeandikiwa na nani?
Kazi kujaza tu pumba kwenye server.
SanaTatizo la magaidi wao vita kwao haviishi
Na kupigana na mtu aliyejitolea kufa ni shida!
Hapo Inabidi wangalie namna gani ya kuwateketeza kabisa mpk kiini Chao
Ila kwa Hali iliyotokea kenya ndy kwanza Hawa washnz alshabab wanafurahia
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
poleni sana,Ndugu zetuWaziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.
Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Hahaha!Nimewaandia watu wenye akili ambao wanauwezi wa kusoma between lines na kugundua makosa, sikuwalenga stupid people wenye akili finyu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna dini inayowalingania waumini wakajilipue...Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.
Matiang’i: All Dusit buildings now secure
kwa hiyo hao wamekuja kutngaza diniWaziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.
Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Io n damu..mshenziHayo yamepita ila hizi za kujikojolea kwa wanaume wa Kenya zitabaki kama kumbukumbu.....poleni sana!!View attachment 996217
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kambi ya jeshi... lakin ni regular army. Kambi ya makomandoo huwa ni tofauti na inajitenga. Waende hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app