Poleni waathirika, shukrani na hongera kwa makomando kwa kukamilisha shughuli

Wawamalize hawa magaidi, Asiondoke hata mmoja.

IMG_7096.JPG



IMG_7097.JPG



IMG_7098.JPG



IMG_7099.JPG



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure
poleni sana,Ndugu zetu
lakini punguzeni majigambo na sifa zisizo na msingi.
Tupo pa1

#My God Iz Awesome
 
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure
Hakuna dini inayowalingania waumini wakajilipue...
 
Waziri wa ulinzi amehutubia na kusema jengo lote la hoteli ya Dusit lenye orofa saba lipo salama baada ya mapambano makali baina ya makomando na magaidi wa kujitolea mhanga. Hadi sasa imeripotiwa vifo vya watu sita.
Ama kwa kweli kazi ya ukomando ni wito, ni kazi ya watu wachache, inahitaji ukichaa fulani kuifanya, maana haingii akilini kwamba unakwenda kupambana na mazombi yaliyokuja kufa, yapo tayari kujilipua kwa misingi ya kidini na hayajaja yakiwa na nia ya kupona wala kutoka salama. Komando wa nchi yoyote anastahili pongezi popote alipo.
Wakenya tuzidi kuiombea nchi yetu na kutoa ushirikiano wowote kwa wana usalama kila tunapohitajika.

Matiang’i: All Dusit buildings now secure
kwa hiyo hao wamekuja kutngaza dini
 
Ni kambi ya jeshi... lakin ni regular army. Kambi ya makomandoo huwa ni tofauti na inajitenga. Waende hiyo

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyu dogo anachonga tu...hata komandoo akipigwa ambush hana ujanja. Unaponda kambi ya jeshi la kenya Somalia...Watakiwa kujiuliza wanajeshi wa Tanzania waliouawa Congo nao walikuwa wanafunzi?

Issue hapa wamepigwa ambush....Hata wamarekani walishapigwa ambush mara kibao na walishindwa vibaya mno....hata Israel wanaosifika kwa Technics za kivita kuna wakati inabidi waretreat kujipanga upya.
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom