SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,318
- 1,936
RIVERS FC, "Mwana kuli-find, mwanakuli-get". Hatimaye tumemalizana. Mlitutoa, tumewatoa, tunasonga mbele... WE ARE YOUNG AFRICAN..!! Kisasi kimeisha... Kwa hili poleni sana, ndivyo Mpira ulivyo.
RIVERS FC, Hongereni sana, leo hamkufungwa! ila mmepata suluhu ugenini.. Si jambo dogo hilo. Kwa hii YANGA ya mwaka huu! kupata suluhu ugenini si jambo dogo asilani, Shukuruni kwani, hakika mnayo bahati kubwa sana, mnastahili pongezi, wangekuwa MAKOLO wangetoa na Sadaka..
MUHIMU! Twafahamu Rivers fc wa mchongo mpo, na leo mlitamani Mabingwa wa Kihistoria tunaadhirika mfano wenu mlipoliaibisha taifa juzi, laa haula! laiti haileti, jambo limekuwa kinyume chake, WANANCHI tumenawirisha TAIFA baada ya aibu yenu. Mkaishia kupata juice safi ya Limao na ndimu.. Msilalame, mmepata mlichostahiki na kustahili, wazee wa robo fainali... wafa kiume! Hata hivyo msijali.. YOUNG AFRICAN SC. Ipo kwa ajili ya kuwapa furaha watanzania...
Ndio maana ikaitwa TIMU YA WANANCHI, Kwa hisani ya watanzania wote mkiwemo nyie Madunduka fc, Makolokolo fc, Ngada fc ama Mikia fc mnayo haki ya kufurahi pamoja nasi kama "WANANCHI". BASI FURAHINI SASA NA HATA BAADA YA KUINGIA FAINALI, KISHA KWA HISANI YA GSM TUTAWAALIKA MAKOLO WOTE KWENYE DHIFA YA KITAIFA YA KULIKABIDHI KOMBE LA CAFCC MWAKA HUU KWA WANANCHI, MAANA HAKUNA WA KUIZUWIA YANGA MSIMU HUU KUCHUKUA KOMBE HILI, MTARUHUSIWA KUPIGA NALO PICHA..!!
HITIMISHO, Rivers fc mmekufa kiume ugenini, Kama ambavyo Madunduka fc, juzi walikufa kiume kule Moroco, tuendelee kufurahia Football.....!!!
#GSMforTANZANIANfootball
RIVERS FC, Hongereni sana, leo hamkufungwa! ila mmepata suluhu ugenini.. Si jambo dogo hilo. Kwa hii YANGA ya mwaka huu! kupata suluhu ugenini si jambo dogo asilani, Shukuruni kwani, hakika mnayo bahati kubwa sana, mnastahili pongezi, wangekuwa MAKOLO wangetoa na Sadaka..
MUHIMU! Twafahamu Rivers fc wa mchongo mpo, na leo mlitamani Mabingwa wa Kihistoria tunaadhirika mfano wenu mlipoliaibisha taifa juzi, laa haula! laiti haileti, jambo limekuwa kinyume chake, WANANCHI tumenawirisha TAIFA baada ya aibu yenu. Mkaishia kupata juice safi ya Limao na ndimu.. Msilalame, mmepata mlichostahiki na kustahili, wazee wa robo fainali... wafa kiume! Hata hivyo msijali.. YOUNG AFRICAN SC. Ipo kwa ajili ya kuwapa furaha watanzania...
Ndio maana ikaitwa TIMU YA WANANCHI, Kwa hisani ya watanzania wote mkiwemo nyie Madunduka fc, Makolokolo fc, Ngada fc ama Mikia fc mnayo haki ya kufurahi pamoja nasi kama "WANANCHI". BASI FURAHINI SASA NA HATA BAADA YA KUINGIA FAINALI, KISHA KWA HISANI YA GSM TUTAWAALIKA MAKOLO WOTE KWENYE DHIFA YA KITAIFA YA KULIKABIDHI KOMBE LA CAFCC MWAKA HUU KWA WANANCHI, MAANA HAKUNA WA KUIZUWIA YANGA MSIMU HUU KUCHUKUA KOMBE HILI, MTARUHUSIWA KUPIGA NALO PICHA..!!
HITIMISHO, Rivers fc mmekufa kiume ugenini, Kama ambavyo Madunduka fc, juzi walikufa kiume kule Moroco, tuendelee kufurahia Football.....!!!
#GSMforTANZANIANfootball