SHIEKA JF-Expert Member Dec 20, 2011 8,244 4,258 Jan 11, 2018 #2 Mchoraji kapatia kweli. Mtu unaumizwa lakini eti unasifia!
KIOO JF-Expert Member Mar 3, 2013 6,154 5,680 Jan 11, 2018 #3 Umenikumbusha jamaa yangu mmoja hivi alikuwa na njumu halaf mpira ni wake na kucheza hajui ni rafu tupu uwanjani na mkimzingua anaondoka na mpira wake basi ni lazma acheze mpaka mwisho wa mchezo. Ni hatari sana aisee.
Umenikumbusha jamaa yangu mmoja hivi alikuwa na njumu halaf mpira ni wake na kucheza hajui ni rafu tupu uwanjani na mkimzingua anaondoka na mpira wake basi ni lazma acheze mpaka mwisho wa mchezo. Ni hatari sana aisee.
N Ninaweza JF-Expert Member Dec 14, 2010 12,033 6,794 Jan 11, 2018 #5 bandamo said: Lisu yupo wapi hapo Click to expand... Hujaelewa.
bandamo JF-Expert Member Aug 5, 2017 1,931 1,367 Jan 11, 2018 #6 Ninaweza said: Hujaelewa. Click to expand... Ndio itakuwa vyema ukibambanua kwa wenye vichwa vigumu kama changu au unazungumzia athari atazopata lisu kutokana na mkutano huo
Ninaweza said: Hujaelewa. Click to expand... Ndio itakuwa vyema ukibambanua kwa wenye vichwa vigumu kama changu au unazungumzia athari atazopata lisu kutokana na mkutano huo
N Ninaweza JF-Expert Member Dec 14, 2010 12,033 6,794 Jan 11, 2018 #7 bandamo said: Ndio itakuwa vyema ukibambanua kwa wenye vichwa vigumu kama changu au unazungumzia athari atazopata lisu kutokana na mkutano huo Click to expand... Yaweza kuwa na tofauti zaidi ya moja. Tafsiri yangu ni kuwa Lissu ajiangalie kwani Lowasa yupo tayari kuishi akiwa ana umia.
bandamo said: Ndio itakuwa vyema ukibambanua kwa wenye vichwa vigumu kama changu au unazungumzia athari atazopata lisu kutokana na mkutano huo Click to expand... Yaweza kuwa na tofauti zaidi ya moja. Tafsiri yangu ni kuwa Lissu ajiangalie kwani Lowasa yupo tayari kuishi akiwa ana umia.
Mgirik JF-Expert Member Apr 27, 2013 13,204 13,184 Jan 11, 2018 #9 Ninaweza said: Yaweza kuwa na tofauti zaidi ya moja. Tafsiri yangu ni kuwa Lissu ajiangalie kwani Lowasa yupo tayari kuishi akiwa ana umia. Click to expand... Lowasa ameumizwa kivipi? Na lini aliwahi kuumizwa?
Ninaweza said: Yaweza kuwa na tofauti zaidi ya moja. Tafsiri yangu ni kuwa Lissu ajiangalie kwani Lowasa yupo tayari kuishi akiwa ana umia. Click to expand... Lowasa ameumizwa kivipi? Na lini aliwahi kuumizwa?
Mgirik JF-Expert Member Apr 27, 2013 13,204 13,184 Jan 11, 2018 #10 Maneno ya wenye busara.. Penye kusifia Sifia na penye kukosoa kosoa..
N Ninaweza JF-Expert Member Dec 14, 2010 12,033 6,794 Jan 11, 2018 #11 Mgirik said: Lowasa ameumizwa kivipi? Na lini aliwahi kuumizwa? Click to expand... Irene katuni pale juu
Mgirik said: Lowasa ameumizwa kivipi? Na lini aliwahi kuumizwa? Click to expand... Irene katuni pale juu
Kertel JF-Expert Member May 11, 2012 5,270 4,975 Jan 11, 2018 #12 Mgirik said: Maneno ya wenye busara.. Penye kusifia Sifia na penye kukosoa kosoa.. Click to expand... Hivi ilishayakubali matokea ya uchaguzi mkuu 2015?
Mgirik said: Maneno ya wenye busara.. Penye kusifia Sifia na penye kukosoa kosoa.. Click to expand... Hivi ilishayakubali matokea ya uchaguzi mkuu 2015?
SHIEKA JF-Expert Member Dec 20, 2011 8,244 4,258 Jan 13, 2018 #13 Mgirik said: Maneno ya wenye busara.. Penye kusifia Sifia na penye kukosoa kosoa.. Click to expand... Sikumsikia Mzee Lowassa akikosoa.Nilimsikia akisifia na kupongeza.
Mgirik said: Maneno ya wenye busara.. Penye kusifia Sifia na penye kukosoa kosoa.. Click to expand... Sikumsikia Mzee Lowassa akikosoa.Nilimsikia akisifia na kupongeza.