Pole pole kama wewe umeshiba tuache wengine tule. Usitaki mwagia mchanga kwenye sinia la wali. TUTAONANA WABAYA

Pole pole kama wewe umeshiba tuache wengine tule. Usitaki mwagia mchanga kwenye sinia la wali. TUTAONANA WABAYA

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
11,163
Reaction score
22,739
Leo tutahakikisha huathiri maisha ya watu kwa namna yoyote. Wewe uliamua kuachia Ubalozi. Wengine bado tunataka tufanye kazi na tustaafu kwa Manufaa ya familia.

Unalotaka kufanya ni kuharibia watu maisha na harakati. Jipime ndugu yangu. Usidhani hilo jambo lako litaleta mabadiliko. Halitaleta mabadiliko yoyote utadharaulika tu.

Umeshindwa kula kama umeshiba nyamaza. Sasa Tutaona litakalotokea.
 
Leo tutahakikisha huathiri maisha ya watu kwa namna yoyote. Wewe uliamua kuachia Ubalozi. Wengine bado tunataka tufanye kazi na tustaafu kwa Manufaa ya familia.

Unalotaka kufanya ni kuharibia watu maisha na harakati. Jipime ndugu yangu. Usidhani hilo jambo lako litaleta mabadiliko. Halitaleta mabadiliko yoyote utadharaulika tu.

Umeshindwa kula kama umeshiba nyamaza. Sasa Tutaona litakalotokea.
Kwani wewe ndiye tajiiri wa rasilimali zetu au upi ugomvi wako na Slow slow?
 
Kama "hatafanikiwa na atadharaulika" kwa nini unamfuatilia ?

Kwa nini unamtisha mtu anaepaswa kudharaulika ?

Ni wazi anachofanya kina impact. Unamwogopa akiendelea kusema.

Hamjazoeza kuona balozi anaikaanga serikali kama mpinzani.

Jamani CCM, nyakati zimebadilika. Hatuko tena in the 80s and 90s.


Population ime explode, wasomi wameongezeka, teknoloji zime revolutionize dunia, watu wametembea ng'ambo, taarifa za habari za dunia tunazo kwenye simu.

Ni ngumu enzi za leo kutawala watu kama ni wale wale post independence peasants waliokuwa wana TV mbili D'Salaam, kwa Nyerere Msasani na kwa Shehe Yahaya Magomeni Mwembechai.

Mtatumia nguvu ya kuua watu weeee, mwishowe kitasanuka tu!

Na si wote mtakaowaua watakuwa nguruwe wasio na sauti. Kuna siku bila kujua mtaua mtoto wa mwanajeshi au wa mlinzi wa kiongozi, ambae hatakubali, ataamua kufa na mwanae. Binadamu sio zezeta ataekubali kuchinjwa siku zote na kuibiwa na watoto wa Rais wastaafu na wake za mawaziri, na shombe wanne wanaoshikilia uchumi waliotajwa leo na Mzee Malisa, kada wa CCM. Haiwezekani. Watawala badilikeni.

Mamilioni ya Watanzania wameona live mwenzao anamwagwa damu yake sebuleni kwake Mbeya. Kwa kosa la kudai maendeleo, kuikosoa serikali. Na Mzee anashushwa kwenye gari la abiria anachomwa na Sulphuric Acid, anayobolewa macho anatupwa kwenye majani.

Wameyabeba hayo! Msidhani mkipita wanawaita waheshimiwa basi wanamaanisha. Wana maumivu na hasira kali. Ndo maana mkifa wanaandamana kwa nyimbo barabarani. Haya, endeleeni kutawala kwa mabavu na kununua na kuuza nchi.
 
Leo tutahakikisha huathiri maisha ya watu kwa namna yoyote. Wewe uliamua kuachia Ubalozi. Wengine bado tunataka tufanye kazi na tustaafu kwa Manufaa ya familia.

Unalotaka kufanya ni kuharibia watu maisha na harakati. Jipime ndugu yangu. Usidhani hilo jambo lako litaleta mabadiliko. Halitaleta mabadiliko yoyote utadharaulika tu.

Umeshindwa kula kama umeshiba nyamaza. Sasa Tutaona litakalotokea.
Wewe kama nani au umekuja kuwasemea wale magabachori wa Mlimani City?
 
Kama."hatafanikiwa na atadharaulika tu" kwa nini unamfuatilia ?

Kwa nini unamtisha mtu anaepaswa kudharaulika ?

Ni wazi anachofanya kina impact. Ni wazi unamwogopa akiendelea kusema.

Hamjazoeza kuona balozi anaikaanga serikali kama samaki wa sokoni.

Jamani CCM, nyakati zimebadilika. Hatuko tena in the 80s and 90s.


Population ime explode, wasomi wameongezeka, teknoloji zime revolutionize dunia, watu wametembea nje, taarifa za habari za dunia tunazo kwenye simu.

Ni ngumu enzi za leo kutawala watu kama ni wale wale post independence peasants waliokuwa wana TV mbili D'Salaam, kwa Nyerere na kwa Shehe Yahaya Magomeni Mwembechai.

Mtatumia nguvu ya kuua watu weeee, mwishowe kitasanuka tu!

Na si wote mtakaowaua watakuwa nguruwe wasio na sauti. Kuna siku mtaua mtoto wa mwanajeshi au wa mlinzi wa kiongozi, ambae hatakubali, ataamua kufa na mwanae. Binadamu sio zezeta ataekubali kuchinjwa siku zote na kuibiwa na watoto wa Rais wastaafu na wake za nawaziri, shombe wanne wanaoshikilia uchumi waliotajwa leo na kada wa CCM Mzee Malisa. Haiwezekani. Watawala badilikeni.
Loooh! Nadhani umemaliza mkuu! Wasipokuelewa, si waelewa!
 
Kama."hatafanikiwa na atadharaulika tu" kwa nini unamfuatilia ?

Kwa nini unamtisha mtu anaepaswa kudharaulika ?

Ni wazi anachofanya kina impact. Ni wazi unamwogopa akiendelea kusema.

Hamjazoeza kuona balozi anaikaanga serikali kama samaki wa sokoni.

Jamani CCM, nyakati zimebadilika. Hatuko tena in the 80s and 90s.


Population ime explode, wasomi wameongezeka, teknoloji zime revolutionize dunia, watu wametembea nje, taarifa za habari za dunia tunazo kwenye simu.

Ni ngumu enzi za leo kutawala watu kama ni wale wale post independence peasants waliokuwa wana TV mbili D'Salaam, kwa Nyerere na kwa Shehe Yahaya Magomeni Mwembechai.

Mtatumia nguvu ya kuua watu weeee, mwishowe kitasanuka tu!

Na si wote mtakaowaua watakuwa nguruwe wasio na sauti. Kuna siku mtaua mtoto wa mwanajeshi au wa mlinzi wa kiongozi, ambae hatakubali, ataamua kufa na mwanae. Binadamu sio zezeta ataekubali kuchinjwa siku zote na kuibiwa na watoto wa Rais wastaafu na wake za nawaziri, shombe wanne wanaoshikilia uchumi waliotajwa leo na kada wa CCM Mzee Malisa. Haiwezekani. Watawala badilikeni.

Mamilioni ya Watanzania wameona live mwenzao anamwagwa damu yake sebuleni kwake Mbeya. Kwa kosa la kudai maendeleo, kuikosoa serikali. Na Mzee anashushwa kwenye gari la abiria anachomwa na Sulphuric Acid, anayobolewa macho anatupwa kwenye majani.

Wameyabeba hayo! Msidhani mkipita wanawaita waheshimiwa basi wanamaanisha. Wana maumivu na hasira kali. Ndo maana mkifa wanaandamana kwa nyimbo barabarani. Haya, endeleeni kudhani mnaweza kutawala kwa mabavu na kununua serikali.
Mungu akupe maisha marefu Aluta Continue hakuna kukata tamaa
 
Leo tutahakikisha huathiri maisha ya watu kwa namna yoyote. Wewe uliamua kuachia Ubalozi. Wengine bado tunataka tufanye kazi na tustaafu kwa Manufaa ya familia.

Unalotaka kufanya ni kuharibia watu maisha na harakati. Jipime ndugu yangu. Usidhani hilo jambo lako litaleta mabadiliko. Halitaleta mabadiliko yoyote utadharaulika tu.

Umeshindwa kula kama umeshiba nyamaza. Sasa Tutaona litakalotokea.
Kalewa Polepole
 
high level of Selfish! Unajiwazia wewe na familia yako! Watu wanawaza vizazi vijavyo katika taifa hili la kikuhani Tanzania 🇹🇿

Vizazi vipi? Lissu yupo ndani akipigania watu wengine. Hao wamemsaidia nini? Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
 
Kama "hatafanikiwa na atadharaulika" kwa nini unamfuatilia ?

Kwa nini unamtisha mtu anaepaswa kudharaulika ?

Ni wazi anachofanya kina impact. Unamwogopa akiendelea kusema.

Hamjazoeza kuona balozi anaikaanga serikali kama mpinzani.

Jamani CCM, nyakati zimebadilika. Hatuko tena in the 80s and 90s.


Population ime explode, wasomi wameongezeka, teknoloji zime revolutionize dunia, watu wametembea ng'ambo, taarifa za habari za dunia tunazo kwenye simu.

Ni ngumu enzi za leo kutawala watu kama ni wale wale post independence peasants waliokuwa wana TV mbili D'Salaam, kwa Nyerere Msasani na kwa Shehe Yahaya Magomeni Mwembechai.

Mtatumia nguvu ya kuua watu weeee, mwishowe kitasanuka tu!

Na si wote mtakaowaua watakuwa nguruwe wasio na sauti. Kuna siku bila kujua mtaua mtoto wa mwanajeshi au wa mlinzi wa kiongozi, ambae hatakubali, ataamua kufa na mwanae. Binadamu sio zezeta ataekubali kuchinjwa siku zote na kuibiwa na watoto wa Rais wastaafu na wake za mawaziri, na shombe wanne wanaoshikilia uchumi waliotajwa leo na Mzee Malisa, kada wa CCM. Haiwezekani. Watawala badilikeni.

Mamilioni ya Watanzania wameona live mwenzao anamwagwa damu yake sebuleni kwake Mbeya. Kwa kosa la kudai maendeleo, kuikosoa serikali. Na Mzee anashushwa kwenye gari la abiria anachomwa na Sulphuric Acid, anayobolewa macho anatupwa kwenye majani.

Wameyabeba hayo! Msidhani mkipita wanawaita waheshimiwa basi wanamaanisha. Wana maumivu na hasira kali. Ndo maana mkifa wanaandamana kwa nyimbo barabarani. Haya, endeleeni kutawala kwa mabavu na kununua na kuuza nchi.

Nyakati ni zile zile. Hamna lolote mtakalo fanya zaidi ya kupiga kelele. Kama yeye ameshiba atulie.
 
Back
Top Bottom