Pole binti

Democratic republic of Congo
mimi nilipoona hiyo picha mwazoni tu, nikajua lazima itakua DRC tu hii
yaani kule watu wanaishi kama wanyama, huwezi amini hadi leo hii kuna watu wanawinda binadamu wenzao msituni na kuwafanya kitoweo
achilia mbali hilo la kubaka, ubakaji kule ndio staili ya kumpata mwanamke huko Congo vijijini, sio kutongoza
 
Ngumu kumeza hii. Yeye ilikuwakuwaje. Akafika hapo katokea wapi
 
Tujiulize ni nani anaye wapatia silaha,mavazi,vyakula pamoja na vifaa vya mawasiliano?
hao wana uniforms,
ndio wanajeshi "wanaolinda amani" mkuu, wengine wametokea tz, ila ufirauni wanaofanya hausimuliki
 
Tayari.......................................
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…