Elections 2010 Point of no return

Masauni

JF-Expert Member
Aug 15, 2010
386
58
Nakumbuka wiki 3 zilizopita nilianika hapa jamvini jinsi nilivyopata taarifa kutoka kwa kigogo mmoja wa CCM kuwa CCM itatumia mbinu za mugabe kutafuta ushindi wa nguvu. Mbinu hizo ni

  • Kutumia vyombo vya usalama kama usalama wa taifa , jeshi. (NAAMINI SASA HABARI NILIZOPEWA NA KIGOGO HUYO NI SAHIHI). Aliendelea kusema kuwa siku ya uchaguzi JWTZ na polisi watakuwa na zana zao za kivita wakipita huku na huko katika hali ya kuwaintimidate wapiga kura, hizi ni tactics alizotumia Mugabe wa Zimbabwe.

  • Kwa baadhi ya maeneo yanayoonekana kuwa na upinzani mkali Returning officers watatangaza matokeo kinyume na matokeo ya vituoni.
Ushauri wangu kwa wale wanaofuatilia historia mtakumbuka jinsi wananchi wa filipino walipouchoka utawala wa ferdinand marcos, Baada ya jeshi kutoa vitisho vya kila namna wafilipino walisema hivi:

HATUTARUDI NYUMA MPAKA UTAWALA WA KIFISADI WA FERDINAND UMEONDOKA, NA WALIFANIKIWA
WANANCHI MSIOGOPE TWENDE TUKAPIGE KURA KUMCHAGUA RAISI TUMTAKAYE.
 
nakumbuka wiki 3 zilizopita nilianika hapa jamvini jinsi nilivyopata taarifa kutoka kwa kigogo mmoja wa ccm kuwa ccm itatumia mbinu za mugabe kutafuta ushindi wa nguvu. Mbinu hizo ni

  • kutumia vyombo vya usalama kama usalama wa taifa , jeshi. (naamini sasa habari nilizopewa na kigogo huyo ni sahihi). Aliendelea kusema kuwa siku ya uchaguzi jwtz na polisi watakuwa na zana zao za kivita wakipita huku na huko katika hali ya kuwaintimidate wapiga kura, hizi ni tactics alizotumia mugabe wa zimbabwe.
  • kwa baadhi ya maeneo yanayoonekana kuwa na upinzani mkali returning officers watatangaza matokeo kinyume na matokeo ya vituoni.
ushauri wangu kwa wale wanaofuatilia historia mtakumbuka jinsi wananchi wa filipino walipouchoka utawala wa ferdinand marcos, baada ya jeshi kutoa vitisho vya kila namna wafilipino walisema hivi:

Hatutarudi nyuma mpaka utawala wa kifisadi wa ferdinand umeondoka, na walifanikiwa
wananchi msiogope twende tukapige kura kumchagua raisi tumtakaye.
sarafina!!!!!!!!!!! Sarafina!!!!!!!the napoleon hahahahaha
 
Back
Top Bottom