Plots zinauzwa maeneo tofauti

Plots zinauzwa maeneo tofauti

tajirisana

Member
Joined
Sep 29, 2010
Posts
83
Reaction score
23
1.plot iko bahari beach ukubwa 3468 sqm,hati zipo $500,000
2.plot iko mwenge karibu na mlimani city ukubwa 600sqm sh.350m
3.plot iko mbezi mwisho karibu na kituo kipya cha basi 600sqm sh.120m
4.shamba linauzwa ekari2 @10m ziko bagamoyo mita chache kutoka barabara ya lami bagamoyo kiwangwa
interested call 0752234378
 
hili la kiwangwa nimelipenda zaidi ,,toa details kidogo
 
shamba ni tambarare limefyekwa,umeme na maji ya kuvuta,umbali 250m kutoka kwenye lami
 
maji hayo unayosemea yametkea wapi,,,mbona naambiwa huko hakuna maji yananunuliwa kama kimara na magari toka ruvu,,,,bei yako umesema ngapi?
 
maji yapo ya mchina unavuta baada ya kupeleka maombi ofcn kwao.bei 10M kwa ekari ila mazungumzo pia yapo
 
heee...hiyo sitawaweza mkuu pita tu...nilifikiri million
 
naishi huku hakina dalali, kwa milioni usitarajie kupata barabarani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom