Hahahshhah lolHuyu dogo siku hizi naona kahamia Birmingham....
Kama sivyo basi atakuwa mtaalamu wa kugoogle....
Ulipokuwa unapewa ada ukalipe shule ulikuwa unaenda kula mishikaki ya kwenye cheleo pale Mwenge stendi matokeo yake unayaona sasa. Huko mbona kwa wachovu huko wanakaa akina Klorokwin na Uporoto
Mwe............kuna jirani yangu anateseka kisa figure kaka..are you sure hiyo inatosheleza ??Hapo ni figure tu
hahahaaaaaaaaa.....
Mimi wasiwasi wangu ni hizi PhD mbili, ya Lizzy na ya MJ1; kama zinakaribia kutuweka nusu uchi humu
sasa nikisema napenda awe anavuta ganja watanielewa kweli??
Unataka Kungu Fu Panda eheeee:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Halafu huyu Babu yako naye wenzake wakati wanaenda shule yeye alikuwa anaenda kuangua maembe.
Haahhaa Sizinga askante sana kwa kurudi maana nimekusubiria mlango wazi ati.........
Yaani kwa wote walioainisha sifa zao hapa hakuna aliyetaja maswala ya msosi..........ssasa sijui wameshazoea kula vya wasichana wa kazi (maana wanawake wa siku hizi tunajidai tuko buzy hata kuingia jikoni)- Nimeipenda hiyo na si wanasema ...........A way to the Man's herat is through his stomach...........sijui nimepatia
Big up
Nimeanzisha Tuition ya Kiingereza mje mjiandikishe usisahau kumleta Babu wa Kitandani nayeHahahshhah lol
naona siku hizi ni
Mtaalam sana mmhhh
itabidi niingie kwenye darasa lake..
Sijui Pre Form One anayofundisha inaanzalini??
Nimeona Klorokwin za kichinaHii Fellow tablet calling itakutokea puani..... ngoja nimwamshe afungue famasi yake.
Una kifua cha chuma aisee....! Bravo, by the way I like the one who can tell me my weaknesses straight .....! Hata kama sijamfikisha anakotaka, let me know before she revenge....! Nitamuheshimu sana yule ambaye hayupo kushindana nami; mfano kama nimeteleza, basi naye ateleze...nikasirike, naye akasirike....! bali anikalishe chini na kutafuta tatizo ni nini.... Kwa hali kama hii, kila nitakapokuwa nalekea kufanya kitu, nafsi hunisuta na kujikuta nikisitisha mara moja.... this is a very strong lock that I can't unlock without her concern....! Hata akitongozwa na rafiki yangu wa karibu aseme mapema....! Asiwe na siri yoyote baina yangu na yeye...! Bali aelewe siri yetu baina yetu na wengine....! Hata kama mfano akiwa shuleni, na mwalimu wake akamtaka kimapenzi ili amuoneshe mtihani, aniambie... hata kama amepewa uwaziri kwa masharti fulani, lakini nipate taarifa mapema kupitia kwake na sio kungwineko....! Just to mention few...!
Nice & Simple..Mi napenda mwanamke ambaye sio mbishi
Ni kweli ngoja nirudi kwakuwa:
NAJUA kwamba mimi ni mwerevu na mwenye akili,kwa sababu nafahamu kwamba HAKUNA NINACHOFAHAMU"
dah kiporo cha makande babu usikipimie...nikubakishie...badaye ukija mpango kamili kiporo cha makande na tusker ya moto dah:dance::dance:dah sipatii picha lazima uxplode apo!!
imekuwaje tena asenga kasepa?
hebu njoo fb tuongee kidogo (huyu max huyu...hivi kwaq nini aliitoa chatroom?)
ha! ha!
babu acha izo bwana...we ni mwelevu kwa sababu unajua kama wajua na ndo mana unamjua mwongo mwenzako!!
Orayt...twende tukachat fesibuku bana...
teamo missssssssssssssssssss uuuuuuuuu!!!!
msalimie rr ukimaliza futa!
Sasa wewe bacha unakaa uswahilini utawapata wapi wa namna hiyo nimeishakwambia uhame huko lakini hautaki. Utaishia ku-date na mama muuza kachaso.
Huyu dogo siku hizi naona kahamia Birmingham....
Kama sivyo basi atakuwa mtaalamu wa kugoogle....
Unataka Kungu Fu Panda eheeee:biggrin1::biggrin1::biggrin1:
Halafu huyu Babu yako naye wenzake wakati wanaenda shule yeye alikuwa anaenda kuangua maembe.
Ulipokuwa unapewa ada ukalipe shule ulikuwa unaenda kula mishikaki ya kwenye cheleo pale Mwenge stendi matokeo yake unayaona sasa. Huko mbona kwa wachovu huko wanakaa akina Klorokwin na Uporoto
Aisee!!! Kitu huwa naisikia chupa tatu kama vile umekunywa kreti tatu za Safari Lager
Hahahshhah lol
naona siku hizi ni
Mtaalam sana mmhhh
itabidi niingie kwenye darasa lake..
Sijui Pre Form One anayofundisha inaanzalini??
Hii Fellow tablet calling itakutokea puani..... ngoja nimwamshe afungue famasi yake.
Hahahahahahahah lol
kungu fu panda tena dahhhh
Nway babu mtaalum wa hesabu huyo..
Anakuhesabia maembe mpaka na ma koko..
Miaka 90 sasa tangu amalize hiyo kazi lakini
we muulize alitengua mangapi.. utashanga lol
Nimeanzisha Tuition ya Kiingereza mje mjiandikishe usisahau kumleta Babu wa Kitandani naye
Nimeona Klorokwin za kichina
Nice & Simple..
Mimi penda hii..
Hahahhaha.....come ooon..we wouldn't do that to you!!
MJ1 asante mpenzi...ndo niko page ya kwanza ngoja nikazane kusoma nikikuta kuna ambae anataka kama mi nilivyo namPM fasta kama ''bado yupo yupo kwanza'' tunabadilisha fasta!!!
Nimekoma ............. Mjukuu Mtiifu....................Mkimaliza mnachodiscuss hapa nitaomba mkichanganue ndani ya mantiki ya thread hii.
Konakali dah...kusema ukweli umenigusa kwa ainisho lako. Aksante kwa kunibariki na hii post yako
Hapo kwenye RED hapo........dah wanawake wengine huwa tunamtazamo tofauti na huo wako...... kanitongoza rafikio nikwambie live!! duh huwa tunahofia mengi kusema ukweli na badala yake utaona tu unaonyeshwa kwa vitendo na viashiria kuwa wifey haafiki mahusiano yenu tena. utasikia tu ah flani simpendi bwana hana tabia nzuri.....mpaka umbane ndo anakwambia alishanitongoza .......kumbe ni bora tuwe tunakuja straight!!
Halafu kuna wanaume wengine wanachukulia mwanamke wake akitongozwa ni ishara ya udhaifu....utasikia "kwa nini akutongoze ulimlegezea nini?" au " huyu kakutongoza hukumpenda ndo mana umenambia, wangapi wanakutongoza mbona huwashtaki" .. Sasa ukisha kuwa na mtu mwenye mtazamo huu lazima uta-mute- hata kama umetongozwa na jirani.
sipendi ngojera. umesema umesikika na umeeleweka. unaendelea kuongea toka posta mpaka kiluvya...doh! kesi moja tuko wawili kaah tuko mahakama ya O'campo. naweza kushuka kwenye gari nikuache uendelee zako na ngonjera zako!
Huyu dogo siku hizi naona kahamia Birmingham....
Kama sivyo basi atakuwa mtaalamu wa kugoogle....
Babu mbona hurudi kitandani?
Kitanda kimelowa nini?
Hili sredi la mjukuu mtiifu, ukilichakachua unapigwa mkwala.
Sirudi kitandani ng'oo!
MJ1, ndio maana nimesema "mapema", maana ukibaki na taarifa hizi, then unakuja kuniambia miezi kadhaa huko kwa kweli nitakuwa na mwaswali ambayo mwenye majibu ni wewe tu....! Nieleweke tu kwamba nipatapo taarifa hizi kupitia kwako hautanifanya mimi nianza kumvimbia rafiki yangu.... bali itanijengea imani juu yako kuwa unanishirikisha yote yakuhusuyo..... Hata baadaye ikitokea kubwa zaidi juu ya hilo, nami nitakuwa na ujasiri wa kuungana nawe bila dukuduku....!