Prince Liantern
Member
- Oct 21, 2014
- 46
- 11
Plan moja 95000 mbna bei sanaa
me nipo Arusha nahutaji....itakuwaje!?
Sawa ila iyo sio bei ya Manga au HotBasic...
Mnafanya delivery?
we mtu!haraka ya nini...Plan moja 95000 mbna bei sanaa
Hiyo ni kwa jumla au rejareja? Na je nikiwa mbali na ulipo let say Mwanza - una wasambazaji?
Vipi size zake?Hio ni rejareja,. Jumla bei inapungua kdgo ukinunua kuanzia tshirt 10..
Mikoani tunatuma kwa bus.. utapokea kwenye ofisi ya bus husika..
Kwa mawasiliano: 0786527572
Karibu
Vipi size zake?