Piteni hapa tujenge uchumi

Piteni hapa tujenge uchumi

syano

Member
Joined
Jul 17, 2016
Posts
26
Reaction score
20
Habari wakuu,
Mimi Ni kijana mchapa kazi , mwenye uwezo wa kujifunza kwa haraka, ni mwaminifu,mbunifu na mwenye mawazo chanya,
Umri ni miaka 21
Elimu yangu ni kidato cha sita

Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kwa ajili ya kutafta kibarua Ili niweze kujikimu kimaisha.

Nina uwezo wa kufanya kazi yoyote(halali),Kwan niko timamu katka afya ya mwili Na akili

Kwa yeyote anayetafta msaidizi /mwenye nafasi katika kazi yoyote, hii ni fulsa muhimu kwake Kwan hatokaa akijitia uwepo wangu..!!

Ahsanteni wakuu
 
kazi yoyote! basi sawa ntakuPM ili tuone hzo nguvu za mwili km ziko sawa!
 
Ngoja waje mkuu, hakuna linaloshindikana jf
 
Habari wakuu,
Mimi Ni kijana mchapa kazi , mwenye uwezo wa kujifunza kwa haraka, ni mwaminifu,mbunifu na mwenye mawazo chanya,
Umri ni miaka 21
Elimu yangu ni kidato cha sita

Lengo la kuanzisha Uzi huu ni kwa ajili ya kutafta kibarua Ili niweze kujikimu kimaisha.

Nina uwezo wa kufanya kazi yoyote(halali),Kwan niko timamu katka afya ya mwili Na akili

Kwa yeyote anayetafta msaidiz/mwenye nafasi katika kazi yoyote, hii ni fulsa muhimu kwake Kwan hatokaa akijitia uwepo wangu..!!

Ahsanteni wakuu
Unaishi wapi? Una ujuzi na computer? Kama ndio program gani una mudu vyema?

Nadhani unge jijibu maswali Kama haya ingekua rahisi kujua una fit wapi!
 
Unaishi wapi? Una ujuzi na computer? Kama ndio program gani una mudu vyema?

Nadhani unge jijibu maswali Kama haya ingekua rahisi kujua una fit wapi!
Niko dodoma mkuu,

Kuhusu ujuzi wa computer najua basic application tu,lakini nnauwezo wa kujifunza pia
 
Ndy matatizo ya elimu ya Tanzania; mtu anamaliza kidato cha NNE/SITA hana ujuzi wowote alioupata huko shuleni zaidi ya Causes, Effects na Consequences za vita. Naona hapa kuna fursa ya kuanzisha mafunzo mbalimbali kwa wanafunzi wanaokuwa wanakaribia kumaliza either ya Biashara au Ujasiriamali
 
Uko tayari kulisha ng'ombe, nguruwe, kuwapatia maji na kusambaza maziwa-kupeleka kwa order mahotelini na majumbani kwa bajaj?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom