Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Wanabodi
Mengi yaliaidiwa na mkulu kipindi cha uchaguzi na mpaka sasa kwa amefanya kiasi kwa upeo na uwezo wake!
Inawezekana kuna mengi aliahidi na huenda mengi yameibuka na yanahitaji serkali ya awamu ya hii kufanya
Mkumbushe hapa mhemishiwa magu labda kasahu
Mimi namkumbusha, Magufuli fungulia ajira za walimu wote kwani tanzania ni kubwa na inawahitaji kwa sasa
Mengi yaliaidiwa na mkulu kipindi cha uchaguzi na mpaka sasa kwa amefanya kiasi kwa upeo na uwezo wake!
Inawezekana kuna mengi aliahidi na huenda mengi yameibuka na yanahitaji serkali ya awamu ya hii kufanya
Mkumbushe hapa mhemishiwa magu labda kasahu
Mimi namkumbusha, Magufuli fungulia ajira za walimu wote kwani tanzania ni kubwa na inawahitaji kwa sasa