[emoji23][emoji23]uyu jamaa Jack nakupali Sana hii kazi aliyo fanya kwenye hiyo movie ya piratesNaangalia hapa zaidi ya mara tano kila moja
Guys wenzetu wapo mbali sana sana
Hizi ni mfululizo wa movie zinazomuhusu captain Jack sparrow
zipo tano
kinachonivutia walioandika script hawa jamaa wamenifanya niwe nairudia kila napopata nafasi kuziangalia
nikipata mwanamke ninayempenda kama navyopenda hizi movie namuoa
starring mkuu ni Captain Jack Sparrow jamaa kawauza watu sana humu haswa will turner na elizabeth swan
ila kiboko yake ni captain Barbosa huyu ndio kiboko ya sparrow
kitu cha kipuuzi movie zote tano sparrow kamùua mtu mmoja tu naye atafufuliwa
kuna kiboko ya wote hao anajiita davy jones huyu muangalie tu disney wanatakiwa wadevelop history yake huyu ndio mfano wa mtu akipenda anapenda kweli
malengendary meli yetu inaitwa black pearl
wengine wanaipenda flying dutchman
angalia humo umuone captain jack sparrow na barbosa wakianza kubishana kaa pembeni maana wana utani wa jadi
isije kuwa mwanangu wa kike nikamwita calypso sijui
View attachment 1745852
ila dead man's chest na at world end'The Curse of the Black Pearl' hii ndio niliipenda kati ya zote...
Kuna uwezekano wakatoa 6 na 7
Yeah nimeiona ila wanasema kuna uwezekano wa kumreplace johhn deppBarbosa: Thank you Jack
Sparrow: You're welcome
Barbosa: Not you, we named a monkey Jack.
Mipango ya Jack yote hua inanufaisha wengine Jinga sana. Ninazo zote 5 nasubiria mwakani mwendelezo kama itatoka au mpaka 2023.
Ila kuna CGI na VFX za kutosha tuache kulaumu wabongo muvi zote tano zimechezewa Studio
mnachanganya movie nyinyiNilionaga X yaan wale wale washiriki wamechexa X tena katika mameli yao na jack sparow pia.Sijuwi walitafuta walitafuta waigizaji wakawavisha zile sura ama vipi.Siajwahi kuiona tena ile x.Sema mwamba jack sparow mi fans wake sana.
najiuliza siku Rdj na Johhny Depp wakikutana kwenye movie nani ataongea ujinga maana RDJ hana akili ila sio kwa ulevi wa deppNi kiki tu kutafuta attention, hawawezi kumreplace John hata wao sio wajinga wapoteza mpunga toka kwa Fans.
Ni sawa umreplace RDJ kama Iron man muvi zingekosa mvuto. Ndio maana jamaa alikua anapandisha dau kila muvi hadi 70M$ per movie ila hawakumtoa
jamaa anajing'oa kidole mzee hahahahaHii Scene yanifurahishaga😅View attachment 1745877
Safi mkuumnachanganya movie nyinyi
pirates of carrebean unaangalia na mtu yeyote
ila ya kuitwa pirates ndio kubanduana tu
Hii ya john dep..ni mbaya sjawai ona.kazingua kwel humu...yaan actin yake ya masihara sijaipenda kabisaNaangalia hapa zaidi ya mara tano kila moja
Guys wenzetu wapo mbali sana sana
Hizi ni mfululizo wa movie zinazomuhusu captain Jack sparrow
zipo tano
kinachonivutia walioandika script hawa jamaa wamenifanya niwe nairudia kila napopata nafasi kuziangalia
nikipata mwanamke ninayempenda kama navyopenda hizi movie namuoa
starring mkuu ni Captain Jack Sparrow jamaa kawauza watu sana humu haswa will turner na elizabeth swan
ila kiboko yake ni captain Barbosa huyu ndio kiboko ya sparrow
kitu cha kipuuzi movie zote tano sparrow kamùua mtu mmoja tu naye atafufuliwa
kuna kiboko ya wote hao anajiita davy jones huyu muangalie tu disney wanatakiwa wadevelop history yake huyu ndio mfano wa mtu akipenda anapenda kweli
malengendary meli yetu inaitwa black pearl
wengine wanaipenda flying dutchman
angalia humo umuone captain jack sparrow na barbosa wakianza kubishana kaa pembeni maana wana utani wa jadi
isije kuwa mwanangu wa kike nikamwita calypso sijui
View attachment 1745852