Wachovu tu,hakuna kitu.....si mnakumbuka mamilioni ya kikwete eehe,si mnakumbuka aliahidi ajira mamilioni eehe,si mnakumbuka hata bara bara ya mbagala haijakamilika,si mnakumbuka epa,si mnakumbuka mauaji ya albino,si mnakumbuka polisi kuwauwa raia kwa bunduki,si mnakumbuka escrow,si mnakumbuka mradi wa kligamboni,si mnakumbuka mradi wa katiba mpya,si mnakumbuka ahadi yake ya tume uhuru,mshindi uraisi 50% +1,si mnakumbuka maisha bora kwa kila mtanzania......SI MNAKUMBUKA RICHMOND YA LOWASA