Hawa ndiyo wenyekazi hiyo si wanaume. CC MwachiluwiJana nikajitutumua nipike pilau eeh waah ni simple sana hakuna makolokolo mengi chap Kwa haraka Hivi ni viungo vyangu Kuna mchele nyamavitunguu vitatu vikibwa chumvi vitunguu saumu pamoja na pilau masala picha zinajieleza Kila kitu
View attachment 3484436View attachment 3484438View attachment 3484439View attachment 3484440View attachment 3484441View attachment 3484442View attachment 3484443View attachment 3484444View attachment 3484445View attachment 3484446View attachment 3484447
Napenda kujipikilisha yaan nikipata mda au kaupenyo aiseee najipikilisha moyo kupenda
Mpaka nimesikia njaa, linavutia sana 😍😍😍Jana nikajitutumua nipike pilau eeh waah ni simple sana hakuna makolokolo mengi chap Kwa haraka Hivi ni viungo vyangu Kuna mchele nyamavitunguu vitatu vikibwa chumvi vitunguu saumu pamoja na pilau masala picha zinajieleza Kila kitu
View attachment 3484436View attachment 3484438View attachment 3484439View attachment 3484440View attachment 3484441View attachment 3484442View attachment 3484443View attachment 3484444View attachment 3484445View attachment 3484446View attachment 3484447
Hiyo inakuwa pilau au dawa ya kutibu chunusi?Sema mapishi yanatofautiana, mimi hpo lazima niweke njegere, nyanya halisi na ya kiwandani, nazi, paprika, ukwaju kidogo, pilipili manga, uyoga kwa mbali na asali.