pikipiki mpya

pikipiki mpya

majuto mperungu

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2012
Posts
394
Reaction score
120
Wakuu ninataka kununua pikipiki sanlg or fekon mpya naomba mwongozo wenu kwa bei na aina ili nikiingia kkoo nisipigwe na wajanja wa mujini
 
Wakuu ninataka kununua pikipiki sanlg or fekon mpya naomba mwongozo wenu kwa bei na aina ili nikiingia kkoo nisipigwe na wajanja wa mujini

Sanlg laki nane na nusu hii ni kila kitu mpaka bima, fekon ni laki saba na nusu
 
Wakuu ninataka kununua pikipiki sanlg or fekon mpya naomba mwongozo wenu kwa bei na aina ili nikiingia kkoo nisipigwe na wajanja wa mujini

Fekon na Sanlg ni shilingi 1,700,000 (milioni moja laki saba) kwa Dar es Salaam.
 
Fekon na Sanlg ni shilingi 1,700,000 (milioni moja laki saba) kwa Dar es Salaam.

Mkuu fekon na sanlg haziwezi hata siku moja kulingana bei kutokana na umadhubuti wake
 
Mkuu fekon na sanlg haziwezi hata siku moja kulingana bei kutokana na umadhubuti wake

Mkuu Sanlg ilikuwa zamani bwana (kati ya miaka 2007 na 2009). Unapozungumzia umadhubuti, Sanlg za sasa hazina tofauti na Fekon, T-Better au pikipiki nyingine za Mchina na ndio maana wana wanakimbilia Boxer ambazo ni afadhali kidogo.
 
Kuna boxer ipo sema imetembea miez miwil apo barabarani km 8818, t441 cgc inaitajika 1.7m sema inapungua kwa maelewano, kama upo seriously ni pm fasta.
 
sanlg 1,870,000 fekon 1,700,000 izo ndio bei zilivyo mimi kwngu kununua boxer na sanlg bola sanlg kwani boxer sio yaukweli kivyo kama watu wanavyo sema kwani mimi nafanya biashara iyo mwaka sasa mkuu lakini ayo maono yangu mimi
 
sanlg 1,870,000 fekon 1,700,000 izo ndio bei zilivyo mimi kwngu kununua boxer na sanlg bola sanlg kwani boxer sio yaukweli kivyo kama watu wanavyo sema kwani mimi nafanya biashara iyo mwaka sasa mkuu lakini ayo maono yangu mimi

Wewe uko kama mimi mkuu, nafanya hii biashara mwaka wa tatu sasa na nimenunua pikipiki zote tatu sanlg sio sawa na fekon hata kwenye uuzaji baada ya kutumia mwaka mmoja utauza sanlg juu ya milion moja lakini hauwezi kuuza fekon kwa hiyo bei,fekon inawahi kuharibika na boxer hauwezi bebea mizigo mizito
 
sanlg 1,870,000 fekon 1,700,000 izo ndio bei zilivyo mimi kwngu kununua boxer na sanlg bola sanlg kwani boxer sio yaukweli kivyo kama watu wanavyo sema kwani mimi nafanya biashara iyo mwaka sasa mkuu lakini ayo maono yangu mimi

KWELI BOXER HAIBEBI MIZIGO.SANLG YA UKWELI KWA HUKU MWANZA NIMEICHUKUA KWA 19500000 na inanifaa sana
 
mkuu zinapatikana wapi hizo je ni mpya kabisa hasa naitaji hata nami nikupate wapi mkuu pls pls
Sanlg laki nane na nusu hii ni kila kitu mpaka bima, fekon ni laki saba na nusu
 
Kwa biashara chukua San LG kwa 1.7m dsm achana na Fekon Hu ji xi ntao.
 
Nimeona wafanybiashar wengi wanatumia FEKON sijui kwa nn

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
...nunua X-L (unaweza ukapiga route za Dar - Moro/Tanga).....wanteni...ndo mpango mzima
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom