Chuma inakuwa kama hyo ila sasa mimi nimebaki na engine tu body niliuza alafu niliyemuuzia sijui yupo wapi nayo yani.Alafu yamaha terminator au wanaiita yamaha cc 600 hivi here engine inaweza vaaa kwenye body ya pikipiki gani hizi kubwa au wapi naweza pata bodi yenye uwezo wa kubeba yamaha 600cc cold kick
Kwann uliiuzaChuma inakuwa kama hyo ila sasa mimi nimebaki na engine tu body niliuza alafu niliyemuuzia sijui yupo wapi nayo yani.View attachment 2700518