Pikipiki inhitajika

Pikipiki inhitajika

Mukose

Member
Joined
May 19, 2012
Posts
95
Reaction score
29
Nahitaji pikipiki aina ya boxer bm 100 ama 150, ama honda zilizoingia sasa engine capacity 125. Bei isizidi 800,000. Kama unayo ni pm mara moja. Ni mkazi wa ilala dar.
 
unataka mpya au used?
Manake kwa mpya, bado upo chini sana. Mpya sio chini ya 1.8 m.
 
Mimi bwana nina pikipiki 2 T BPB 668 na TBRB 350 zote boxer bm 100 zina ubovu mdogo moja inavujisha oil ktk engine na ingine mfumo wa umeme. Kama unataka kuona cont. 0715500248 nipo ilala msimbazi bonden.
 
Pamoja na boxer mbili pia nina sunlg ambayo inatembea nimeshindwa kugombana na vijana inahitaji ukarabati wa dash bod na chuma la carier unachukua kwa laki saba tu.
 
Back
Top Bottom