Pikipiki inauzwa laki 8

Pikipiki inauzwa laki 8

vidodi

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2014
Posts
363
Reaction score
130
Kwa anayehitaji hii pikipiki piga namba 0717278410 kwa maelezo zaidi
 

Attachments

  • 1425047137371.jpg
    1425047137371.jpg
    69 KB · Views: 556
  • 1425047153288.jpg
    1425047153288.jpg
    72.4 KB · Views: 485
Nitakuuliza swali moja la msingi na muhimu!
PIKIPIKI YAKO INA NAMBA MPYA?
 
We piga namba hyo ya juu utapata kujua majibu
 
Kwa kuwa umeleta hapa jukwaani jibu hapa hapa wote wajue.Kwanini unaficha?
Kwa mwendo huu utafanya maswali niyaongeze.
 
ongeza tu kama unajskia kubwabwaja
 
Wenye uwelewa wameshaelewa, ukishaona mfanya biashara anasuasua jua biashara yake jua hamna kitu hapo.
 
We mfanyabiashara gn mbabe ivo??? Toa ushirikiano na wateja uuzee kali yako ...au ya magumashiii???
 
Kwan ukipiga namba hizo za juu utakosa nini
 
Au unataka mtu aonekane mbaya tu kwa kulazimisha we nimekwambia piga namba hizo na ukitaka utaletewa sasa kama ni mnunuzi utapiga na kama si mnunuzi utaishia kubwabwaja mi sipend kubishana ndo maana nikatoa namba
 
Wenye uwelewa wameshaelewa, ukishaona mfanya biashara anasuasua jua biashara yake jua hamna kitu hapo.

labda ya wizi...
wapi nitaweza kupata pikipiki nzuri ambayo haina magumashi?
 
But nahc imechoka sana hio,indictor tu za mbele zina rangi tofauti,taa umeziinimisha kuna kitu umezuia hapo tyles zimechoka sana,sight mirrors zote umepasua hio ni kwenye picha nikija live ntagundua mengi sana!!!!anyways endelea kuuza ninavyojua saiv pikpik za kiivo skuhz ukiuza kwa hio hela bas ww jembe,hio anzia Lk5
 
Na huyo dreva boda boda ukimnyang'anya atafanya kaz gani tena mtaani au unataka atuibie?
 
Kweli kabisa, huyo ni kanjanja, coz hatujui ni aina gani ya pikpik, imetumika muda gani, ni no gani, au ndo kesha ipiga sehem, ndo maana anaogopa kusema jukwaani ili mwenyewe asijue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom