Rich Forever
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 467
- 469
1 DOLA= 2,318.86 TSH
650 DOLA = TSH. 1,507,259.
KAMA UNACHUKUA 1,500,000/= Kamili njoo nikupe nipo Katavi, ila iyo 1,507,259 mimi sina
nipo tunduma mkuu, kama upo dar nadhani biashara itakuwa ngumu kufanyika mzee maana ni mbali sanaNipo dar mkuu kama ungekuwa huku fresh
nipo tunduma mkuu, kama upo dar nadhani biashara itakuwa ngumu kufanyika mzee maana ni mbali sana
Hivi kwani mkiwa mnaweka bei kwa TSH. mnapungukiwa na nn na ukute Limtu liko hapa hapa Tanzania
mimi nimeipenda pia ila nipo KAGERA nakupa milioni moja na laki 5 kama uyo jamaa wa juu
niletee kagera
Mm nahitaji kama hii used kama kuna mtu anayo
Na mm spendi speed maana sitafuti ya mashindano just for my own useIla nasikia huwa hazina speed sana hiz
Na mm spendi speed maana sitafuti ya mashindano just for my own use
Mkuu ndo pikpik ninayoikubali hii ata kiusalama tu unajiamini,vione hivyo vina nguvu balaa vinanyanyua gunia za mahindi hivyo
Kamanda hii ndio wanaita kibao cha mbuzi?View attachment 1587216
Mimi nauza hii, laki saba
Kamanda hii ndio wanaita kibao cha mbuzi?
Kuna mpemba mmoja aliniambia hzi vespa zinakimbia Sana zaidi ya boksa....nilibaki kucheka tuuNdio boss, naiuza
wale jamaa wa kuvusha magendo kule Bunju( na Namanga) ni mwendo wa vibao vya mbuzi tu,Kuna mpemba mmoja aliniambia hzi vespa zinakimbia Sana zaidi ya boksa....nilibaki kucheka tuu