Pikipiki boxer cc 150

Pikipiki boxer cc 150

Mlevihalisi

Member
Joined
Dec 9, 2017
Posts
19
Reaction score
3
Hello wapendwa wa jf,,nauza pikipiki yangu boxer bm 150, pikipiki niliinunua mwez wa tano mwaka Jana! Nilikuwa naitumia kwa matumiz binafsi ya kuendea kazn na kurud nyumbani!! Kwa sasa sina matumiz nayo baada ya kupata usafir mwingine!! Pikipiki bado inavutia na haijawah kupigwa spana zaid ya service ya kawaida! Bei n 1,800,000 lakin maongez yapo! Napatika DSM kigambon lakin pikipiki nimeitunza ofisin kwangu posta! Njoo uikague
NB: Starter haipigi kwa sababu ya kukaa mda mrefu bila kutumika,,karibun
 
Hello wapendwa wa jf,,nauza pikipiki yangu boxer bm 150, pikipiki niliinunua mwez wa tano mwaka Jana! Nilikuwa naitumia kwa matumiz binafsi ya kuendea kazn na kurud nyumbani!! Kwa sasa sina matumiz nayo baada ya kupata usafir mwingine!! Pikipiki bado inavutia na haijawah kupigwa spana zaid ya service ya kawaida! Bei n 1,800,000 lakin maongez yapo! Napatika DSM kigambon lakin pikipiki nimeitunza ofisin kwangu posta! Njoo uikague
NB: Starter haipigi kwa sababu ya kukaa mda mrefu bila kutumika,,karibun
Ungeweka na picha yake maandishi matupu hayasaidii
 
Kama hujaikorokochoa utauza upesi sana kulingana na hiyo bei.
Cha muhimu weka picha watu wakavunje vibubu
 
Unajua bei ya sasa dukani ni kiasi gani?
Kwa sasa cjui lakin ukihitaj mpya toka showroom nna ndugu yangu pale makao makuu yao ntakupeleka ukanunue,,sikushaur kununua za madukan mf kariakoo wanabadilisha mashine hivo itakusumbua!! Karibu
 
Nielekeze kwenye Pm nije kuiangalia,ila punguzo halitakosekana najua
 
Pikipiki uliyo yotumia mwaka mzima utauzaje bei hiyo mkuu
 
Hello wapendwa wa jf,,nauza pikipiki yangu boxer bm 150, pikipiki niliinunua mwez wa tano mwaka Jana! Nilikuwa naitumia kwa matumiz binafsi ya kuendea kazn na kurud nyumbani!! Kwa sasa sina matumiz nayo baada ya kupata usafir mwingine!! Pikipiki bado inavutia na haijawah kupigwa spana zaid ya service ya kawaida! Bei n 1,800,000 lakin maongez yapo! Napatika DSM kigambon lakin pikipiki nimeitunza ofisin kwangu posta! Njoo uikague
NB: Starter haipigi kwa sababu ya kukaa mda mrefu bila kutumika,,karibun
bila picha mkuu...haishawishi
 
Kwa sasa cjui lakin ukihitaj mpya toka showroom nna ndugu yangu pale makao makuu yao ntakupeleka ukanunue,,sikushaur kununua za madukan mf kariakoo wanabadilisha mashine hivo itakusumbua!! Karibu
Nipe namba ya huyo muuzaji
 
Back
Top Bottom