Pikipiki Boxer BM150 inauzwa

Pikipiki Boxer BM150 inauzwa

Huyu jamaa anaona 2 laki ni hela nyingi umetumia miezi 19,hiyo ilisha kuwa mbovu uza 1m,
 
Mkuu humu utapata kila aina ya kejeli.
Lkn wewe kuwa mpole wateja watakutafuta tu maana humu wengi wanatumia tu data ili siku ziende sio wateja wala nn.
Acha kumdanganya ni bora umwambie ukweli hakuna mteja atakaemtafuta huyu jama pikipiki mpya ni milion mbili laki mbili hii yake kaitumia mwaka na miezi saba na anauza milioni mbili. ni kichaa tu anaweza nunua hiyo pikipiki kwa bei hiyo
 
Biashara ya mkononi haiwezi kuuzwa kma ya dukani... Ni bora uongeze hiyo laki 2 upate mpyaaa
 
Boxer za mtumba ni shida jamani. kama mna hela muende tu dukani unless muuzaji uwe unamjua sawa sawa
 
used kwa mbongo miezi 7 mingi sana mkuu,, tofauti na wenzetu ulaya used hata myaka 2, kitu kama kipya vile, wabongo tatizo hatuwi wawazi hapo waweza kuta ina tatizo ndio maana unauza. nakusahauri kwa mda huo uza 1.5 hapo utapata mteja na si vinginevyo..
 
kudhihirisha ni mali yangu nimewawekea na kapicha buana! mjue huku kwetu kumiliki 'ntambo' kama huu unaotegemea 'maji ya mwarabu thi mhedho ati! '
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom