Yaani kitu kikitumika hata siku moja ni used. Na bei inaweza kuwa hata nusu.Mpya million 2.2
wewe!! konda wakati ndio bosi mwenyewe huyoNa huyo konda nae anaambatanishwa au??
bora kununua dukani hivi vitu hiviNimenunua boxer used inasumbua ile mbayaa
Mkuu anasema mwaka miez 7 nadhani anamaanisha mwaka na miez 7. Hapa lak 8 chikopa 2 Ms labda zwe 3Miez saba mbona mingi mana yake umepunguza laki moja tu mkuu