yaani nani akupe milioni 5 kwa hiyo pikipiki
Nimecheck online hizi pikipiki hapa chini bei yake ni 3880¥ chinese yuan=1,301, 863/=Tsh ukiweka na ushuru na usafiri haifiki hata milioni 3. This is pathetic
yaani nani akupe milioni 5 kwa hiyo pikipiki
Nimecheck online hizi pikipiki hapa chini bei yake ni 3880¥ chinese yuan=1,301, 863/=Tsh ukiweka na ushuru na usafiri haifiki hata milioni 3. This is pathetic
yaani nani akupe milioni 5 kwa hiyo pikipiki
Nimecheck online hizi pikipiki hapa chini bei yake ni 3880¥ chinese yuan=1,301, 863/=Tsh ukiweka na ushuru na usafiri haifiki hata milioni 3. This is pathetic
Mkuu wewe umeangalia online! Yeye anayo physically ndo maana ameweka na faida juu.
Mbona Japan gari inauzwa us$ 1000 lakini likifika huku unakuwa umegharamika 8mln tsh.
Mkuu wewe umeangalia online! Yeye anayo physically ndo maana ameweka na faida juu.
Mbona Japan gari inauzwa us$ 1000 lakini likifika huku unakuwa umegharamika 8mln tsh.
Labda hauna uzoefu kwenye kuagiza vifaa kama hivi china mkuu,
in short ukinunua hiyo mashine especially yenye engine ya ZHONGSHEN, Guangzhou unaweza ipata kwa bei chini ya niliyo iweka inaweza kuwa kama laki tisa ya bongo....kuipakia na kuifikisha bongo haita zidi laki nane mpaka unaiweka mikononi inaweza fika milioni 2(kununua na kuisafirisha na kuitoa)...wekea maximum 2.5M sasa hiyo faida ya asilimia 100. Kanunue mkuu sija kukataza but natoa maoni yangu huru