Hii pikipiki ni ya ukweli sana kama unahitaji mashine hiyo ni ya uwakika yaani wewe unatakiwa ucheze na oil na mafuta basiii inanguvu ni stable barabarani na inaweza kutembea mpaka km 800 non stop mbio ni za kufikia boxer 150 hapo itasoma namba ina plug mbili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.