Piki piki ya miguu 3

Masika

JF-Expert Member
Sep 18, 2009
723
30
Nauza piki piki ya miguu mitatu TWO STROKE YA INDIA
-imetumika
-bado inatembea,injini iko safi,inakula mafuta vizuri lita moja kwa karibu km 30
-bodi iko safi
-Inafaa kufanyia biashara
-Tafuta fundi uje naye akukagulie
-iko Dar es salaam magomeni mapipa
-Imelipiwa kodi na 3rd part inshuarensi kwa mwaka mzima
-Bei Tsh 2m haina mazungumzo
Mawasiliano 0713473166
madalali wanakaribishwa lakini bila kuathiri changu
-picha baadae
KWA MWENYE SHIDA ANAWEZA KUNITAFUTA NA KUJA KUIONA KUANZIA 6AM MPAKA 10PM KILA SIKU
-Usibip ni bora utume sms utajibiwea
 
Very good, straight forward. Napenda watu walionyooka bila kupinda-pinda maneno. That's how business should be done.
 
Ningependa kuuliza.
a.Imetembea kilometer Ngapi
b. Brand gani (Bajaji au Piaggio au ??)

B.P (2011)
 
Back
Top Bottom