Piki piki ya miguu 3

Piki piki ya miguu 3

Masika

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2009
Posts
723
Reaction score
30
Nauza piki piki ya miguu mitatu TWO STROKE YA INDIA
-imetumika
-bado inatembea,injini iko safi,inakula mafuta vizuri lita moja kwa karibu km 30
-bodi iko safi
-Inafaa kufanyia biashara
-Tafuta fundi uje naye akukagulie
-iko Dar es salaam magomeni mapipa
-Imelipiwa kodi na 3rd part inshuarensi kwa mwaka mzima
-Bei Tsh 2m haina mazungumzo
Mawasiliano 0713473166
madalali wanakaribishwa lakini bila kuathiri changu
-picha baadae
KWA MWENYE SHIDA ANAWEZA KUNITAFUTA NA KUJA KUIONA KUANZIA 6AM MPAKA 10PM KILA SIKU
-Usibip ni bora utume sms utajibiwea
 
Very good, straight forward. Napenda watu walionyooka bila kupinda-pinda maneno. That's how business should be done.
 
Ningependa kuuliza.
a.Imetembea kilometer Ngapi
b. Brand gani (Bajaji au Piaggio au ??)

B.P (2011)
 
Ningependa kuuliza.
a.Imetembea kilometer Ngapi
b. Brand gani (Bajaji au Piaggio au ??)

B.P (2011)

odometer ishakufa mzee,iliishia 8400km
ni bajaj 2stroke ya india baba,sema!
 
Back
Top Bottom