nyumbatatu
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 1,076
- 940
Ipi mbaya Na ipi mbaya zaidiKwenye mbaya na mbaya zaidi wachagua nini?
Ngoja yule M~bongo flavor aitwae Nikki Mbishi aje atuambie au atuwekee ule mziki wake wa 'I am sorry JK'.Ipi mbaya Na ipi mbaya zaidi
Wenye uwezo wa kuongoza Nchi kutoka vyama tofauti hawapo kabisa..Nchi hii inahitaji mfumo mpya kabisaa mfumo wa watu kutoka vyama tofauti , bila hivyo hata magu atakuwa bora akija mwingine
Wenye uwezo wa kuongoza Nchi kutoka vyama tofauti hawapo kabisa..
Wapinzani wenyewe hawajiwezi wataishia kuiga utendaji uleule wa ccm..
Kwan mpaka sasa hawana hoja za msingi zaidi ya Kudakiadakia udaku