Meridah Tough
Senior Member
- Nov 27, 2017
- 136
- 365
Habarini madaktari wa Jf na wanajamii wote kwa ujumla?
Kuna kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu na ninafikiri hapa ninaweza nikapata elimu.
Katika pitapita zangu za mitandanoni, nimekutana na wadada wanaotibu PID kutokana na maneno yao especially kwa wadada ambao hawapati ujauzito kwa urahisi.
Pia wamekuwa wakitumia picha ambazo wanaweka kuonyesha kuwa huo ndio ugonjwa wenyewe. Picha yenyewe ni uchafu au vitu vinavyopatikana katika maumbile ya kike ambayo mara nyingi uwa ni kama maziwa ya mgando.
Pia niliwahi kusoma mahala kwamba hali hiyo si mbaya, ni hali ya kawaida katika maumbile ya kike. Inatokea na kubadilika kutokana na mabadiliko fulani ya mwili.
Sasa swali langu ni je PID hii inayosemekana ni ugonjwa naitofautishaje na mabadiliko hayo ya mwili? Msaada tafadhali.
Kuna kitu ambacho nimekuwa nikijiuliza kwa muda mrefu na ninafikiri hapa ninaweza nikapata elimu.
Katika pitapita zangu za mitandanoni, nimekutana na wadada wanaotibu PID kutokana na maneno yao especially kwa wadada ambao hawapati ujauzito kwa urahisi.
Pia wamekuwa wakitumia picha ambazo wanaweka kuonyesha kuwa huo ndio ugonjwa wenyewe. Picha yenyewe ni uchafu au vitu vinavyopatikana katika maumbile ya kike ambayo mara nyingi uwa ni kama maziwa ya mgando.
Pia niliwahi kusoma mahala kwamba hali hiyo si mbaya, ni hali ya kawaida katika maumbile ya kike. Inatokea na kubadilika kutokana na mabadiliko fulani ya mwili.
Sasa swali langu ni je PID hii inayosemekana ni ugonjwa naitofautishaje na mabadiliko hayo ya mwili? Msaada tafadhali.