flulanga
JF-Expert Member
- Jul 1, 2016
- 4,861
- 6,442
Nimekaa hapa katika kuangalia makarabrasha yangu nimekutana napicha zampenzi wangu angali akiwa bado msichana wakati bado ajazaa nimejikuta nimeanza kumpenda tena nakumuhamu. Ama hakika alikuwa mzurii sana ila me ndio nimembadilisha/nimemchakaza sana aisee chuchu zilikuwa saa6 ila sasa zimekuwa kama ndala aisee nimejikuta nimeanza kumpenda nakuukubari uzuri wake tena kwamara nyingine.
Wanaume wenzangu tujifunze kurudi nyuma nakukumbuka uzuri tuliowakuta nao wazazi wenzetu/mke nakama una picha zake alizokuwa amepiga au mlizowahi kupiga wakati mapenzi yenu yakiwa fire nivizuri zaidi itakufanya uanze kumdindishia nakumpiga mabao mengi kama vile mwanzo, yawezekana hayo mabao yako yawakati ule ndio yalimvutia kwako nakuamua kudumu nawewe hadi leo hii.
NB: hii haiwahusu waliozaa nakuoa masingle mother maana hao hawajui uzuri wamwanzo wahao masingle mother wao.
Wanaume wenzangu tujifunze kurudi nyuma nakukumbuka uzuri tuliowakuta nao wazazi wenzetu/mke nakama una picha zake alizokuwa amepiga au mlizowahi kupiga wakati mapenzi yenu yakiwa fire nivizuri zaidi itakufanya uanze kumdindishia nakumpiga mabao mengi kama vile mwanzo, yawezekana hayo mabao yako yawakati ule ndio yalimvutia kwako nakuamua kudumu nawewe hadi leo hii.
NB: hii haiwahusu waliozaa nakuoa masingle mother maana hao hawajui uzuri wamwanzo wahao masingle mother wao.