Bila shaka hayo mashindano yalifanywa nje ya bara letu. fanya mpango hiyo picha ya tatu uitoe, hata aliyepiga hiyo picha alishindwa kuvumilia kwa ukatili alioufanya akidhani yeye ni binadamu wa thamani sana kuliko huyo mtoto
Hiyo ndo picha ambayo mpiga picha,if not mistaken ni CNN repoter,badaye alikuja kuji-comit suicide regreting kwa kitendo cha kumpiga picha huyo mhanga wa njaa na kumwacha bila msaada! Inasemekana kuwa huyu mhanga wa njaa baada ya kuachwa na huyu photographer,alikuja kuliwa na huyu ndege.....ilisikitisha sana,sababu intention ya photographer ilikuwa ni kupiga tu picha na kwenda kuiuza ktk international media!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.