Picha: Zari, Diamond wakiwa UK

Mmh!! Domo na mama tukinao mbona mnapa tununu presha hivi? Juzi tu hapa mwenzenu maralia ilimpanda kichwani, sasa hivi naona itahamia kwenye makalio, maana sio kwa kumrusha roho huko, Mara South, Mara London, wakati mwenzenu ata haijui London inafananaje mfyuu

Na wewe tununu ulizidi kujishaua mno kipindi kile domo kakubali mtoto ukajiona wewe ndo keki wenzio wote mavi, ndo ujifunze kuparamia Mali za watu, mtu mzuri kwa nini usitafute wako ukawa na amani, ona unavyorushwa roho mpaka maralia zinakupanda kichwani, kupenda vya watu kumekutokea puani, domo anakuona kama dust bin, nasikia hyo mtoto hana habare nae, tununu mwaka wako huu
1f1880698f789d451039ce15b9a556de.jpg

Kumbe na Uingereza napo huwa kuna uchafu uchafu chini kama huku Kwetu Kinondoni kwa Manyanya? Basi nimeghairi siendi tena huko Ulaya nabaki zangu hapa hapa tu.
 
Wewe umefika london kuanzia mwezi wa nane mpaka mida ii??/

Hebu nikumbushe kidogo Mkuu mkiwa mnatoka pale Heathrow Airport mkono wako wa Kulia kuna Kivutio gani tena vile kizuri sana. Nasubiri jibu langu mwana London BIGstallion na najua hutoniangusha Mimi niliyebobea na London yangu hii ya Usingidani / Singida.
 
Hebu nikumbushe kidogo Mkuu mkiwa mnatoka pale Heathrow Airport mkono wako wa Kulia kuna Kivutio gani tena vile kizuri sana. Nasubiri jibu langu mwana London BIGstallion na najua hutoniangusha Mimi niliyebobea na London yangu hii ya Usingidani / Singida.
Mi sikupitia Heathrow nilipitia Manchester labda uniulize swali lingine, ?
 
warumi mpeleke Dk. Shika akakutane na huyo mchepuko wa zamani wa Diamond.. ambaye anaona hata 900m itapendeza tu maana 5m kwa mwezi itakuwa tone moja la mvua kwake kila mwezi.
 
Mbona hali ya hewa ya London ni afadhali sana, haina tofauti na Makete au Mafinga. Kuna majini yana hali ya hewa mbaya kama Moscow, Manchester.
Nilifika Manchester kuna sehemu inaitwa Bangol nilienda ndo unachukua treni apo,.. Sema sipend baridi,
 
Back
Top Bottom