Haahhaah binaaamu nyam ya hamuWew mwenye lolote mida ya kazi hi I unafanya nn humu? Wenzio majobless na umbea ndo kazi yetu tunalipwa, sijui wewe mwenzangu
WapiiiiMbona alikua anaonesha au hukua na smartphone?
Bora umesema weweSubutu kipindi kile alikua anapiga picha mlangoni anarudi kulala ashukuriwe ivan kufa
Mmh!! Domo na mama tukinao mbona mnapa tununu presha hivi? Juzi tu hapa mwenzenu maralia ilimpanda kichwani, sasa hivi naona itahamia kwenye makalio, maana sio kwa kumrusha roho huko, Mara South, Mara London, wakati mwenzenu ata haijui London inafananaje mfyuu
Na wewe tununu ulizidi kujishaua mno kipindi kile domo kakubali mtoto ukajiona wewe ndo keki wenzio wote mavi, ndo ujifunze kuparamia Mali za watu, mtu mzuri kwa nini usitafute wako ukawa na amani, ona unavyorushwa roho mpaka maralia zinakupanda kichwani, kupenda vya watu kumekutokea puani, domo anakuona kama dust bin, nasikia hyo mtoto hana habare nae, tununu mwaka wako huu
Zari mguu moja mrefu mmoja mfupi, kama mnabisha tumeni picha akiwa amesimama straight
London sipapendi aseeh kuna baridiii utafikiri hakuna maisha mengine
Wewe umefika london kuanzia mwezi wa nane mpaka mida ii??/Mkuu hiyo London yako Wewe unayoimaanisha ni ile ya Singida au hii ya kweli kweli kwa Malkia Elizabeth?
Wewe umefika london kuanzia mwezi wa nane mpaka mida ii??/
Mi sikupitia Heathrow nilipitia Manchester labda uniulize swali lingine, ?Hebu nikumbushe kidogo Mkuu mkiwa mnatoka pale Heathrow Airport mkono wako wa Kulia kuna Kivutio gani tena vile kizuri sana. Nasubiri jibu langu mwana London BIGstallion na najua hutoniangusha Mimi niliyebobea na London yangu hii ya Usingidani / Singida.
Kiongozi ulitafutwa sana humu kila mtu akasema yake maana ulipotea sana au ulikua depo? mkuuPresha inapanda, presha inashuka
mtakua nlikua hamjaja mjini nyie, zari mbona alikua anapost office yake tena ina picha ya tiffah mezani...Wapiiii
London sipapendi aseeh kuna baridiii utafikiri hakuna maisha mengine
Nilifika Manchester kuna sehemu inaitwa Bangol nilienda ndo unachukua treni apo,.. Sema sipend baridi,Mbona hali ya hewa ya London ni afadhali sana, haina tofauti na Makete au Mafinga. Kuna majini yana hali ya hewa mbaya kama Moscow, Manchester.