Mwembebasha
JF-Expert Member
- Dec 27, 2013
- 1,425
- 406
Hata Mimi nlitaka kujua ubini wake japo hiyo sura inaonesha kama anatoka kaskazini.Hivi huyu Charles hana ubini?! Kila mtu Charles...Charles! Charles who?
Hata Mimi nlitaka kujua ubini wake japo hiyo sura inaonesha kama anatoka kaskazini.Hivi huyu Charles hana ubini?! Kila mtu Charles...Charles! Charles who?
Huyo mbunge Vicky Kamata ni Incubator, anajitahidi sana kutoa watoto wazuri. Good to her
Hawa mabinti wenye nyodo kilele chao ni kuvalishwa pete za uchumba tu, ndoa hakuna wataishia kumegwa tu. Hata cjui huyu ni mchumba wake wa ngapi!
wanaume wote sisi kaishia kwa tapeli...hana machale huyu
wanawake na maendeleo tufanye kazi tusonge mbele yelelee yelele wanawake, wolowolo kina mama
Tunajifunza nini Kwa wenye ndoa? Hata hawa makamanda!!! Hakuna msafi dunia hii. Wazee wanatamaa sana na vitoto virembo, sijui tuvifiche wapi masikini ya watu Vidada vyetu, maana hukawii kusikia shemeji yako Ni Mzee wa Ziwa Nyasa aka TOTHuyu mkubwa ni wa Paul Ntobi. Aliwahi kuwa RPC mkoa wa Mara sasa ni mstaafu
kuweka pics za watoto bila kuziba macho yao sio poa, they are innocent bana , msi wa drag kwenye hii issue
heshima yako mkuu, mambo yanaendaje? Miafigganigga huyoo weraweraaaa ..wapi mzee wa ma photo Tytamiaaaaa
heshima yako mkuu, mambo yanaendaje? Mia
Safi sana, nmefurahii kukuona dada yangu. miamambo powa mkuu. Mia