Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,396
- 7,968
kama mmefikia hapo kila siku ni yamaandamano basi naakika maendekeo ya nchi hayatakuwepo.
Mbio za sakafuni hizoo
Yaani sasa hivi kila kukicha Chadema ni mikutano ya hadhara tena siku za kazi badala ya kuwapa watu nafasi wafanye kazi ili wapate rizki zao za halali. Halafu mkitoka hapo manalalamika umaskini, kumbe nyinyi wenyewe ndio major reason ya umasikini. Utapigana vipi na umasikini kama hufanyi kazi????
hiki chama kinanifurahisha mpaka natamani ku reveal my true name. KWELI CHADEMA INAPENDWA KUNA CKU ME NITASHINDWA KUFCHA MAHABA YANGU KWENYE HIKI CHAMA POTELEA MBALI HATA WANIFUKUZE KAZI.
Prof. Slaa akiwa anaihubiri katiba ya CHADEMA
Mkuu Whisper asante sana tunafarijika sana ila mimi sioni kama hicho cheo cha kumwita Slaa Prof kina-sound vizuri huyu ni Dr.Slaa, inatosha. Pia siyo anahubiri bali ANAFUNDISHA maana mahubiri yapo kwa maccm, CDM ni tunawapa wananchi skuli kwa kwenda mbele.
Asante sana.
hiki chama kinanifurahisha mpaka natamani ku reveal my true name. KWELI CHADEMA INAPENDWA KUNA CKU ME NITASHINDWA KUFCHA MAHABA YANGU KWENYE HIKI CHAMA POTELEA MBALI HATA WANIFUKUZE KAZI.
Kwa hiyo nyie ni chama cha mikutano ya mihadhara tuu, hata siku za kazi????
Hata nchi tajiri kiasi gani haitoweza kuendelea kama watu wake hawatofanya kazi.
Nyie wanasiasa kula yenu ni kwenye hiyo mikutano ya hadhara na wananchi je?? acheni ubinafsi, mnaojifanya mnawapenda wananchi?? wewe ukitoka hapo kwenye mkutano umepata chakula cha wanao na wananchi je???
mkuu mbona yule jangili na mwenzake nepi walikuwa wanawatoa watoto mashuleni na kuwavisha nguo za kijani siku hizohizo za kazi? au CHADEMA ndo hawaruhusiwi kufanya mikutano siku za kazi? KWA MTINDO HUO HATA HIZO EFU 7 ZA LUMUMBA unaweza kuzikosa kama hautakuwa makini na kazi yao waliyokutuma!
Usicheze na BANYAMBALAMbeya mmewatoza tsh ngapi?
Hujajibu hoja zaidi ya mipasho, na mimi siwezi bishana kwa mipasho ninabishana kwa hoja, kwa taarifa yako...Tulia unyolewe siku zenu zinahesabiwa!!!
Sakafu ya wapi??????????????????Mbio za sakafuni hizoo
kama mmefikia hapo kila siku ni yamaandamano basi naakika maendekeo ya nchi hayatakuwepo.
Uzuri hii mikutano hufanyika jioni na kumbuka Mbeya asilimia kubwa ni wakulima plus wafanyabiashara.Yaani sasa hivi kila kukicha Chadema ni mikutano ya hadhara tena siku za kazi badala ya kuwapa watu nafasi wafanye kazi ili wapate rizki zao za halali. Halafu mkitoka hapo manalalamika umaskini, kumbe nyinyi wenyewe ndio major reason ya umasikini. Utapigana vipi na umasikini kama hufanyi kazi????