yes maana nilikuwa najiuliza, naona kuna magari upande wa kulia yakielekea kushoto wakati naona ni km mwisho wa hiyo barabara..haya, nikiangalia kulia naona kuna gari linatokea mwanzo wa barabara ambako kunaonekana nako ni mwisho wa barabara..ndio nikahisi labda yanapitia chini ya maji ambako labda barabara hiyo inaendelea kuunganisha kulia na kushoto...ila kiukweli km iko hivyo, imejengwa vizuri sana!
hii sijaielewa..ina maana hizo gari zinazotokea huko upande wa kulia ndio zinapita chini ya maji ili kutokezea huko kushoto au? nielewesheni wakuu mi mshamba..