Picha ya Siku ya Mrisho Kikwete

Aisee Anatia huruma wangempa na yeye angalao kaubunge kakuteuliwa ili awe Karibu na mama salma
 
Mbona nyumba mdogo sana!Vitu vimebanana kiasi hicho?Au yuko kwa nyumba mdogo maana hawa wazee wasikie tu,hili la mama Salma kuteuliwa ubunge,kwa mheshimiwa ni bonge la gap,hana stress hapo hata kidogo!
 
Mbona nyumba mdogo sana!Vitu vimebanana kiasi hicho?Au yuko kwa nyumba mdogo maana hawa wazee wasikie tu,hili la mama Salma kuteuliwa ubunge,kwa mheshimiwa ni bonge la gap,hana stress hapo hata kidogo!
Mkuu ingekuwa nyumba ndogo hapo lazima ungeona mapochopocho, wazee wa pwani wanapenda sana mapochopocho
 
Mbona nyumba mdogo sana!Vitu vimebanana kiasi hicho?Au yuko kwa nyumba mdogo maana hawa wazee wasikie tu,hili la mama Salma kuteuliwa ubunge,kwa mheshimiwa ni bonge la gap,hana stress hapo hata kidogo!
Teh teh teh. Ebwahahahahaha. Nimecheka kwa sauti.
 
Mbona nyumba mdogo sana!Vitu vimebanana kiasi hicho?Au yuko kwa nyumba mdogo maana hawa wazee wasikie tu,hili la mama Salma kuteuliwa ubunge,kwa mheshimiwa ni bonge la gap,hana stress hapo hata kidogo!
Kweli nami nlitaka niseme hilo la nyumba kubanana, uzuri wa nyumba space! Ila hilo la gape la mama salma nimecheka saanaa.....ictoshe alimuombea kwa sizonje ili yy abaki free!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…