Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,315
- 33,111
Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa na fomu za kuomba chama chake kimchaguwe kuwa mgombea katika nafasi ya urais wa Zanzibar kwenye uchaguzi wa 2010 mara baada ya kuchukua kwenye tawi la CUF la Mtoni Kidatu mjini Zanzibar juzi.:becky: