[emoji134][emoji134][emoji134][emoji849][emoji849][emoji849]wahenga hizi ndio shughuri zenu sasa, kutusaidia hawa wanaovunga mafisadi hadi kwa photo!!Iwapo Mandela alikuwa bado Kijana, uwepo wa Thomas Sankara unatia shaka kuhusu picha hii.
[emoji849][emoji849]nakodoa sana lkn sion kitu, iv zinatofautiana kumbe[emoji134][emoji134][emoji134]Angalia langi za picha hiyo utajua zili wekwa wakati tofauti
una akiri sana ndg me kwa akiri zangu za kuku ckuona chochote ila kwa sasa nmeanza kuona hii uongo..Umri wa Mandela, mbona kama upo sawa na wa Tyson!!!!!, ina maana walikuwa umri sawa wakati huo?
Kakosekana Nyerere tu hapoComrades hao...hatari sana
PAN AFRICAN MOVEMENT
Dalili za Uhuru Kenyatta kuja kuwa rais zilionekana toka utotoni kutokana na babake kuwa naye katika matukio mbali mbali. Sijui Nyerere alikuwa anamuweka karibu mtoto yupi ambaye angalau angevutika kisiasa na kuja kuutaka urais. Magufuli naye hatumuoni hata akifuatana angalau na mtoto mmoja
mehisi hico kitu, na enzi za Mandela akiwa kijana hivyo, Sankara hakuwepo by the way Mandela hakuwahi kukutana na SankaraIwapo Mandela alikuwa bado Kijana, uwepo wa Thomas Sankara unatia shaka kuhusu picha hii.
Acha ligi za kijinga.Nyerere and ushujaa gani?
Huwa nawashangaa sana mnaomkuza huyo dingi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Photoshop ila imetulia.Hamna picha bora kama hiii kama ni Edit basi wametisha.View attachment 1023182
Sent using Jamii Forums mobile app
Full picha dukaHamna picha bora kama hiii kama ni Edit basi wametisha.View attachment 1023182
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa TLNyerere and ushujaa gani?
Huwa nawashangaa sana mnaomkuza huyo dingi!
Sent using Jamii Forums mobile app