huoni kuwa ni uchafu wa miji, barabara kujenga vitu kama hivyo? Pasco MSALANISiasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.
Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.
CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.
Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.
Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.
Naunga mkono hoja!, huu ni uhuni, na waliofanya kitendo hiki ni uhalifu na wachukuliwe kama wahalifu wengine wowote bila kujali itikadi zao za kisiasa!, na ni watu kama hawa ndio wanaotia doa baadhi ya vyama kuonekana kama ni vyama fujo, vurugu na kuhatarisha amani!, kumbe sio vyama bali ni wahuni wachache kwenye vyama hivyo!.
Ila pia tuna watu wajinga ajabu humu!, wanasifia ujinga!.
Pasco
Ingawa mimi ni Chadema damu damu lakini kitendo hiki si cha kistaarabu! usimtendee mwenzio usiyopenda kutendewa.
2015..............CCM.................MUST.............GO
Siasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.
Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.
CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.
Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.
Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.
Huyoo atakuwaa ni mpumbavu mmoja tu ndo kafanyaa hvyoo..
Harafu eti ndo mnachukulia point hapo eti Ccm imechokwa. Jisemee ww mwenyewe usiwasemee wengine.
Naunga mkono hoja!, huu ni uhuni, na waliofanya kitendo hiki ni uhalifu na wachukuliwe kama wahalifu wengine wowote bila kujali itikadi zao za kisiasa!, na ni watu kama hawa ndio wanaotia doa baadhi ya vyama kuonekana kama ni vyama fujo, vurugu na kuhatarisha amani!, kumbe sio vyama bali ni wahuni wachache kwenye vyama hivyo!.
Ila pia tuna watu wajinga ajabu humu!, wanasifia ujinga!.
Pasco
Siasa zimewashinda kwa sasa mmebakia kubomoa kuta.
Watu wenye hekima na busara kama Mark Twain walishatuasa na kusema, Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience. CCM haitaenda huko mnakotaka kuipeleka.
CCM itaendelea kufanya siasa zenye matokeo chanya ndani ya sanduku la kura kama ilivyo tokea mwaka 1995 mpaka leo.
Kazi ya kubomoa kuta tunawaachia ninyi lakini mnatakiwa muelewe kuwa, mkono wa vyombo vya usalama ni mrefu.
Kuna baadhi yenu kwa sasa bado wako magerezani baada ya kufanya kazi kama hii mliyoifanya.