PICHA: Wapi kwa dar nitapata juice dispenser na aina hii ya refrigirator

PICHA: Wapi kwa dar nitapata juice dispenser na aina hii ya refrigirator

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,483
Nimekuja kwenye jukwaa hili sbb linapitiwa na watu weng ili nipate msaada wa haraka,

Naomba kujuzwa ni wap kwa dar naweza pata juice dispenser mpya za mitung mitatu
WA-IMG-20190601-8cd805d7.jpg
na aina hiza za refrigilator/ wanaita OPEN DISPLYA REFLIGILATOR/SHOW CASE REFLIGILATOR MPYA KBSA KWA AJIR YA BIASHARA.
images(14).jpeg
WA-IMG-20190601-bd20cafe.jpg
Naombeni msaada wenu wadau, pia napenda kuuliza kuhusu brenda nzur na imara/heavy duty na kubwa sio hz za nyumbn nataka ya biashara ni ipi, ikoje na kampun gan
 
JE HZ REFRIGILATOR ZIPO? MAANA KUNA MTU KANIAMBIA ETI MPK UTOE ODA WAKUAGIZIE NJE
 
Refrigerator zipo za kuanzia laki sita kwenda juu, japo nying ni za lak 9, na nisehem 3 tu nimezikuta baada ya kuzunguka kila chocho ila hizi sikuchukua baadala yake nikachukua warm food displaye/showcase
WA-IMG-20190611-23b3561d.jpg
niliona haina haja maana tayar nina freezer na nitachukua juice dispenser ambapo hv vyote nivya cooling haina haja ya kuongeza na refrigirator, hii nikwaajil ya kufanya vitu visipoe, brenda nikapata hii,
high-performance-commercial-blender.jpg_350x350.jpg

Umepata sehemu gani mkuu na bei zake range ikoje?
Bei ikoje mkuu
Umezipata kwa bei gani mkuu?



High perfomance commercial blender, ni ya kazi haswa haswa asikuambie mtu, ni ya lita 3.5, nimechukua kwa lak 3, dispenser nikasanda hela haikutosha ni 1.1M, japo ukiingia kichwa kichwa unapgwa 1.5M, badala yakenikachukua popcorn mashine kwa 250k, vile viti dizain mpya iliiyotoka vyenye miguu ya chuma kwa elf 33 na sehem nyingne zote wanaanzia 35, kumbuka ni vya cello
41szugko+0l.jpg
(sio jambo, jambo mpk elf 26 unapata na vinafanana sanaa, ila ukiangalia jambo na cello, jambo ina mgongo mkubwa na uimara wake haukut cello na muonekano) na mazaga mengne, nikasafrisha nasubr nijipange tena kwa ajir ya hio dispenser na mazaga mengne, ila kwa ufup nilizunguka nikahakikisha napata bidhaa nzur kwa last price in the market.
 
Vizuri ulipata ndugu Najidakia store hivyo vyote unavipata juice dispenser tray 3 mpaka 1m unazipata ila kwa sasa tumemaliza
double tray Laki nane

kila kitu unachotafuta pata taarifa zake kwanza tupigie 0762612213
 
Back
Top Bottom