Picha: Vijana wawili wanaopigiwa chapuo kumrithi Magufuli 2020

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,482
20,426
Mbunge wa Chalinze na mbunge wa Instagram (pichani)wakibadilishana mawazo
11260567_508855785906342_10079571_n.jpg

Wanatajwa sana na wachambuzi wa siasa kama vijana walio chini ya miaka 40 walio kwenye uwezekano mkubwa kabisa kuongoza taifa hili siku za usoni hata kuwa na uwezekano wa kushika usukani hapo 2020
 
Mbunge wa Chalinze na mbunge wa Instagram (pichani)wakibadilishana mawazo
11260567_508855785906342_10079571_n.jpg

Wanatajwa sana na wachambuzi wa siasa kama vijana walio chini ya miaka 40 walio kwenye uwezekano mkubwa kabisa kuongoza taifa hili siku za usoni hata kuwa na uwezekano wa kushika usukani hapo 2020
Ndoto za mchana kweupe
 
Ivi Methadone uwa kila hospital kuu ya Wilaya wanatoa au ni apa Mwananyamala peke yake. Maana pale kama Jamaica, Mexico na Brazil pale geiti la mwananyamala unauzwa mzigo 24 hours
 
Le akili kubwazz!!! instagram ndiko kunakonipatia pesa u know!! Im humbled.
 
mleta mada unatumika vibaya

nia yako ni kuwagombanisha hao jamaa na public
 
Mleta mada huna aibu kuwa mmoja wa vibaraka wa Kubwa la mafisadi???
 
Back
Top Bottom