[PICHA + VIDEO] CHADEMA ndani ya Butiama

[PICHA + VIDEO] CHADEMA ndani ya Butiama

Duh!huyu Emily Maige Nyerere inaonekana ni CHADEMA damu kabisa!!
 
Tumeona mkuu.

Shukrani na kila la heri Chadema katika shughuli zao za kusaka uongozi wa nchi ila sioni wala sijasikia taarifa zao za kuongeza idadi ya wanachama wapya. Mikutano bila kupata wanachama wapya na kufungua matawi ngazi za vijiji kutakuwa na tija kubwa?

Nimeona na kusifu juhudi za kamanda Mbowe kufungua matawi Arusha lakini sijaona juhudi zaidi za kuyaendeleza huko wanakofanya mikutano ingawa inaweza kuwa inafanyika bila kupewa nafasi katika vyombo vya habari. Nashauri nalo liwe linasemwa ili tuone ongezeko na ukuaji wa CDM.
Ni kweli kabisa mkuu!kuna ulazima wa kujenga chama hadi ngazi ya kijiji!
 
Ile hadithi ya Freeman kuzaliwa na Mwalimu iliishia wapi? Watu bwana!
 
Ile hadithi ya Freeman kuzaliwa na Mwalimu iliishia wapi? Watu bwana!

Mbowe amefanana sana na watoto wa Nyerere au ni kweli baba wa taifa alichepuka? naomba radhi kama sijamtendea haki baba Nyerere lakini hayo ndio maneno yalioko mtaani.
 
Wazidi kuwa makini mwendo wao sio mbaya, ila wajue adui yaoyupoccm) japo mgonjwa sana....lakini lakini bado akili yake itimamu.
 
Ni watu makini..nimefurahi mama wetu wa taifa anonekana bado bright ,wise na very alert
 
kimsingi nimeipenda na tunashukuru sana kwa pics hizi. halafu wanajf, kuna fununu niliwahi kuzipata kuwa freeman ni mtoto wa pembeni wa mwalimu? inawezekana amekwenda kumtembelea baba yake pia?

he might be nyerere in the other version!

viva chadema!
 
Penye nia pana njia, kaza buti CDM, ipo siku mtapata. Kwa sababu hicho mnachokitafuta hakuna mwenye hati miliki nacho, bali alijenga hoja akaonekana anafaa akapewa. Sasa kwa kuwa inaonekana naye anashindwa, endelea kujenga hoja.
 
kuna cruiser nzima ilipita imejaa kadi kwa ajili ya kanda ya ziwa! hili la kufungua matawi ni suala ambalo kila mara nawauliza kwa simu wale kwenye msafara hawajanipa majibu ya moja kwa moja....

tunaomba ripoti hiyo plz!

opipozzzzzzzzzz!
 
Ujue kazi inayofanywa na chadema inawezekana kuwa ni njia mojawapo ya kuonyesha kuwa kikwete kashindwa kazi mfano pale waliposema serikali yake imeshindwa kuteketeza mabomu hadi leo hii yamelipuka yameua watanzania wenzetu, kama wananchi watalielewa hili na hili la mfumko wa bei hata mwaka 2015 ni mbali ...anaweza kiuchomoka.
 
Ni kweli hilo la kufungua matawi ni muhimu, isije kuwa wanachama ni wale wale hawaongezeti, ikizingatiwa kuwa wanapungua wengine kwa kuitwa mbele ya haki au kuhamia vyama vingine.
 
Back
Top Bottom