PICHA: Tujikumbushe kuhusu Rais Dr Magufuli

PICHA: Tujikumbushe kuhusu Rais Dr Magufuli

Jamar Said

Member
Joined
Sep 2, 2015
Posts
19
Reaction score
35
Rais Magufuli katika ubora wake! Ni kweli katoka mbali sana katika utendaji wake wa kazi.
 

Attachments

  • IMG_2416.JPG
    IMG_2416.JPG
    74 KB · Views: 887
  • IMG_2417.JPG
    IMG_2417.JPG
    52 KB · Views: 786
  • IMG_2418.JPG
    IMG_2418.JPG
    112.9 KB · Views: 771
  • IMG_2419.JPG
    IMG_2419.JPG
    75.4 KB · Views: 762
Natamani niione tena ile video alipomangwa na JK alipokua anavunja nyumba barabara ya Morogoro pale Ubungo!
Hongera Mr Prezdaa, working hard paid!
 
TingaTinga limeTinga ikulu sasa. Olewako uvue samaki kwa thiodan, au uwe mzee wa njoo kesho, mara et tupo kwenye mchakato aisee hiiiii, "ntalala nao mbele"
 
magufuli anafit kuwa waziri mkuu sio rais,kama sio huruma za jk na pinda maelfu ya watanzania wangekuwa homeless kwa kuvunjiwa nyumba zao,
 
magufuli anafit kuwa waziri mkuu sio rais,kama sio huruma za jk na pinda maelfu ya watanzania wangekuwa homeless kwa kuvunjiwa nyumba zao,
Inatakiwa sheria zifuatwe hao unaowataja hawakufuata sheria ndio mana nchi wameiacha hoi taabani
 
Back
Top Bottom