Picha:Totoz za ukweli

Wadanganye hao hao.Lakini hivi ni kweli jamani au ni editing tu?
 
Mbona hawajawekewa label za made in China?
 
nakumbuka kile kibwagizo cha mtaani kwetu ameingiza nyambizi...tujihadhari...tutauawa
 
Wadanganye hao hao.Lakini hivi ni kweli jamani au ni editing tu?
wewe utabaki kuulizia ni kweli, ni kweli wakati wenzio ndiyo tunahangaika nayo kila siku. Kama wa kunyimwa, wa kunyimwa tu. Pole!
 
wewe utabaki kuulizia ni kweli, ni kweli wakati wenzio ndiyo tunahangaika nayo kila siku. Kama wa kunyimwa, wa kunyimwa tu. Pole!
Wewe naye hebu nitolee bangi zako hapa.Nimeuliza tu kama ulikua na jibu ungejibu ndio au hapana.
Hizi blah blah zako peleka kwa wanywa gongo wenzio pimbi wewe.
 
wewe utabaki kuulizia ni kweli, ni kweli wakati wenzio ndiyo tunahangaika nayo kila siku. Kama wa kunyimwa, wa kunyimwa tu. Pole!
Ahaha mkuu hizo tandam sio za kawaida unafikiri unahitaji msosi kiasi gani walau kuweka gia moja?
 
Kweli Wanaume Tunakazi, Yote Hiyo Ni Kututafuta Tu, Ingekuwa Vipi Kusingekuwa Na Wanaume Duniani, Je Wangetembea Uchi! Au Wangejisitili Mitindo Ingekuwa Yanini! Yakazigani! Wakati Hakuna Wanaume Duniani!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…