Picha:Tajiri namba moja lakini anaishi kawaida kabisa

Huyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama
1,Kalamu
2,Mapete vidoleni (hana)
3,Simu ya kawaida kabisa
6cd7bbf8e0f5f153db999ae0378ea684.jpg
FREEMAXENCE.
N'yadikwa
RC HALIMA DENDEGO.....ALIWAHI KUWA DC MPWAPWA, YUKO VIZURI...
 
Huyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama
1,Kalamu
2,Mapete vidoleni (hana)
3,Simu ya kawaida kabisa

Sisi ukipata hela za mkopo tu utavaa Mapete vidole vyote,utaning'iniza funguo za kavits ka mkopo hadi za mageti yote ya nyumbani kwako,utajifanya kuzungusha round wakati hela yenyewe ndio hiyohiyo, nk nk Tunaishi kimaigizo sana.
Tuna kiburi,jeuri,tu wavivu wengi wetu,hatuheshimu kazi,tunapenda sana siasa kuliko uchumi,si ajabu tutasalia hivihivi.
Tubadilike watanzania wenzangu.
6cd7bbf8e0f5f153db999ae0378ea684.jpg

FREEMAXENCE.
N'yadikwa
Muislam safi huyo,hana makando kando kama ya yule marehemu wa Magomeni msoma nyota na mipete yake ya majini....
 
Mada ilimhusu Dangote watu wamehamishia mjadala kwa RC,
Hatari bongo.
 
Yule jamaa wa Madale alipata senti za kununua kiwanja na gari ndogo akaamua kujiita kabisa Dangote wakati hana hata robo ya utajiri wa Dangote mwenyewe
 
Hata Warren buffet ana live large, anajinafikia tu kwenye media kwamba he is frugal, its pointless kuwa na mabilioni ya dola hlf uishi kimaskini labda hela ziwe za masharti Tyta
That's not not true,he lives a very modest life.Remarkably frugal.
 
Huyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama
1,Kalamu
2,Mapete vidoleni (hana)
3,Simu ya kawaida kabisa

Sisi ukipata hela za mkopo tu utavaa Mapete vidole vyote,utaning'iniza funguo za kavits ka mkopo hadi za mageti yote ya nyumbani kwako,utajifanya kuzungusha round wakati hela yenyewe ndio hiyohiyo, nk nk Tunaishi kimaigizo sana.
Tuna kiburi,jeuri,tu wavivu wengi wetu,hatuheshimu kazi,tunapenda sana siasa kuliko uchumi,si ajabu tutasalia hivihivi.
Tubadilike watanzania wenzangu.
6cd7bbf8e0f5f153db999ae0378ea684.jpg

FREEMAXENCE.
N'yadikwa
Tofautisha Utajiri na Ulimbukeni, Ukiwa tajiri halali huna makuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom