dully santo
JF-Expert Member
- Apr 12, 2014
- 260
- 334
Hivi hiyo Avatar yako ni nini ?
Ni gari
Hivi hiyo Avatar yako ni nini ?
RC HALIMA DENDEGO.....ALIWAHI KUWA DC MPWAPWA, YUKO VIZURI...Huyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama
1,Kalamu
2,Mapete vidoleni (hana)
3,Simu ya kawaida kabisa
FREEMAXENCE.
N'yadikwa
Buggati Veyron sio ?Ni gari
Muislam safi huyo,hana makando kando kama ya yule marehemu wa Magomeni msoma nyota na mipete yake ya majini....Huyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama
1,Kalamu
2,Mapete vidoleni (hana)
3,Simu ya kawaida kabisa
Sisi ukipata hela za mkopo tu utavaa Mapete vidole vyote,utaning'iniza funguo za kavits ka mkopo hadi za mageti yote ya nyumbani kwako,utajifanya kuzungusha round wakati hela yenyewe ndio hiyohiyo, nk nk Tunaishi kimaigizo sana.
Tuna kiburi,jeuri,tu wavivu wengi wetu,hatuheshimu kazi,tunapenda sana siasa kuliko uchumi,si ajabu tutasalia hivihivi.
Tubadilike watanzania wenzangu.
FREEMAXENCE.
N'yadikwa
Nigeria wanauzaje speedo? Elfu 10ile pen ni speedo, zinauzwa 300 bongo
Mawazo ya maskini wa nchi ya ulimwengu wa tatu!!Hawa wengine utajiri wao wa isangoma. Chezea nairaland ww
Hii mbegu hii ,haya asante mkuuNi mbegu mkuu
Tofautisha Utajiri na Ulimbukeni, Ukiwa tajiri halali huna makuuHuyu jamaa anaishi kawaida kabisa japokuwa ndie tajiri namba moja Africa. Hebu ktk hiyo picha tazama
1,Kalamu
2,Mapete vidoleni (hana)
3,Simu ya kawaida kabisa
Sisi ukipata hela za mkopo tu utavaa Mapete vidole vyote,utaning'iniza funguo za kavits ka mkopo hadi za mageti yote ya nyumbani kwako,utajifanya kuzungusha round wakati hela yenyewe ndio hiyohiyo, nk nk Tunaishi kimaigizo sana.
Tuna kiburi,jeuri,tu wavivu wengi wetu,hatuheshimu kazi,tunapenda sana siasa kuliko uchumi,si ajabu tutasalia hivihivi.
Tubadilike watanzania wenzangu.
FREEMAXENCE.
N'yadikwa
Imefanana na koroshoHivi hiyo Avatar yako ni nini ?