ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,119
- 49,843
My Take
Hii ndio hasara ya kuiga Kila kitu bila kusoma mazingira.
Hapo mabilioni ya wananchi yamepotea 👇👇
===
Maana halisi ya mgawanyo mbaya wa fedha, mji mdogo kama mtaa wa Kisukuru kule Tabata unajenga stendi yenye hadhi ya jiji la Arusha. Kakonko haina basi la aina yoyote linaloanzia hapa ukipita asubuhi ni Probox tu, kufikia saa tisa stendi inakuwa kijiwe cha boda.
TboundBuses
Hii ndio hasara ya kuiga Kila kitu bila kusoma mazingira.
Hapo mabilioni ya wananchi yamepotea 👇👇
===
Maana halisi ya mgawanyo mbaya wa fedha, mji mdogo kama mtaa wa Kisukuru kule Tabata unajenga stendi yenye hadhi ya jiji la Arusha. Kakonko haina basi la aina yoyote linaloanzia hapa ukipita asubuhi ni Probox tu, kufikia saa tisa stendi inakuwa kijiwe cha boda.
TboundBuses