bei ya kiroba muulize mbunge wako mariam msangi aliyekuwa anakunywa nje ya bunge pale makole bar kabla ya mjadala wa escrow haujaanza cc[MENTION]msalani faizafoxy simiyuyetu[/MENTION]
Hawa watoto wameshajiandikisha kupiga kura?
Achane watoto waje Kwangu!. Haya ni maneno ya Mfalume wa Wafalume.
Kwahiyo una akili kama za hao watoto?
Umeambiwa watoto wana akili kukuzidi
Sijui kama wanajua kinachoendelea hapo mkuu.
Maeneo haya yana viwanja vingi vya mpira na michezo mingine ya watoto, kama wasingekuwa wanaelewa basi wangekuwa kwenye michezo yao ya siku zote. NAAMINI WEWE NDO UJUI KINACHOENDELEA!
Sijakataa ila nawe una akiri nyingi kama za hao watoto?
Asanteee