Barbarosa JF-Expert Member Apr 16, 2015 22,584 27,786 Nov 28, 2016 #1 Safi sana Waziri Nape hata mimi nimechukuwa Picha ya Raisi Magufuli nimeweka Nyumba nzima
Mdudu halisi JF-Expert Member May 7, 2014 2,730 4,768 Nov 28, 2016 #3 Huku ni kulazimisha posho (book 7)...sasa hapa umeandika nini?
Q Quinine JF-Expert Member Jul 26, 2010 21,271 47,271 Nov 28, 2016 #4 Barbarosa said: Safi sana Waziri Nape hata mimi nimechukuwa Picha ya Raisi Magufuli nimeweka Nyumba nzima Click to expand... Siku hizi B7 hakuna nenda Lumumba kachukue maji unywe upunguze mapovu.
Barbarosa said: Safi sana Waziri Nape hata mimi nimechukuwa Picha ya Raisi Magufuli nimeweka Nyumba nzima Click to expand... Siku hizi B7 hakuna nenda Lumumba kachukue maji unywe upunguze mapovu.
kopites JF-Expert Member Jan 28, 2015 8,381 10,043 Nov 28, 2016 #6 Unafungua uzi ili ushadadie wanaume,ww ni jike au dume?kama ni dume basi unasaidiwa kazi
Kinyungu JF-Expert Member Apr 6, 2008 17,383 33,041 Nov 28, 2016 #7 Barbarosa said: Safi sana Waziri Nape hata mimi nimechukuwa Picha ya Raisi Magufuli nimeweka Nyumba nzima Click to expand... Mkao wa Nape unaonyesha kabisa anaelemewa na ukubwa wa tumbo. Hivi hamnaga hata gym akapunguze manyama uzembe
Barbarosa said: Safi sana Waziri Nape hata mimi nimechukuwa Picha ya Raisi Magufuli nimeweka Nyumba nzima Click to expand... Mkao wa Nape unaonyesha kabisa anaelemewa na ukubwa wa tumbo. Hivi hamnaga hata gym akapunguze manyama uzembe
BONGOLALA JF-Expert Member Sep 14, 2009 16,507 11,883 Nov 28, 2016 #8 Kinyungu said: Mkao wa Nape unaonyesha kabisa anaelemewa na ukubwa wa tumbo. Hivi hamnaga hata gym akapunguze manyama uzembe Click to expand... MwanaDiwani TandaleOne Nape Nnauye kitambi usikiendekeze,utazeeka sasa hivi
Kinyungu said: Mkao wa Nape unaonyesha kabisa anaelemewa na ukubwa wa tumbo. Hivi hamnaga hata gym akapunguze manyama uzembe Click to expand... MwanaDiwani TandaleOne Nape Nnauye kitambi usikiendekeze,utazeeka sasa hivi