watanzania waliojibu swali la kipima joto la ITV lililohoji "Je kususia bunge la katiba ni njia bora ya kutupatia katiba bora?" wamejibu hivi 74% wanesema NDIO 21% wasema HAPANA na 5% wamesema hawajui...my take watanzania inaonekana wanaiunga mkono sana UKAWA